vibertz
JF-Expert Member
- Mar 15, 2022
- 2,474
- 4,726
Kuelekea mechi ya tarehe 19, timu ya Simba ina advantage kubwa sana kutokana na kuwa na idadi ndogo sana ya wachezaji walioitwa kwenye mataifa yao. Kuitwa kwa wachezaji wengi kwa upande wa Yanga kuna athari ya mwalimu kushindwa kupanga program zake za kimbinu na kiufundi kuelekea kwenye mchezo husika. Tarehe 15 ndio timu nyingi zinakamilisha mzunguko wa 4 kufuzu AFCON, hivyo wachezaji wataanza kusafiri kati ya tarehe 16 hadi tarehe 17 huku kukiwa na siku moja tu ya maandalizi kuelekea kwenye derby.
Ukiachana na sababu ya kocha kushindwa kupata muda wa kutosha kuandaa program yake, jambo la pili ni fatigue. Wachezaji wa Yanga watakuwa kwenye uchovu kutokana na kutoka kucheza mechi karibu karibu na pia uchovu wa safari. Hawatokuwa na muda wa kupumzika.
Wachezaji wa Yanga walioitwa kwenye majukumu ya mataifa yao na wamecheza mechi ni
1) Diara
2) Aziz Ki
3) Chama
4) Abuya
5) Dube
6) Musonda
7)Bacca
8)Job
9)Mzize
10) Mudathir
11) Aucho
Hawa ni wachezaji wanaounda kikosi cha kwanza cha Yanga kwa asilimia kubwa, na ndio wanaokosa kushiriki katika mpango kazi wa Gamondi kwa asilimia 100 kutokana na muda. Hivyo Simba mshindwe wenyewe kushinda siku ya jumamosi favour ipo upande wake.
Ukiachana na sababu ya kocha kushindwa kupata muda wa kutosha kuandaa program yake, jambo la pili ni fatigue. Wachezaji wa Yanga watakuwa kwenye uchovu kutokana na kutoka kucheza mechi karibu karibu na pia uchovu wa safari. Hawatokuwa na muda wa kupumzika.
Wachezaji wa Yanga walioitwa kwenye majukumu ya mataifa yao na wamecheza mechi ni
1) Diara
2) Aziz Ki
3) Chama
4) Abuya
5) Dube
6) Musonda
7)Bacca
8)Job
9)Mzize
10) Mudathir
11) Aucho
Hawa ni wachezaji wanaounda kikosi cha kwanza cha Yanga kwa asilimia kubwa, na ndio wanaokosa kushiriki katika mpango kazi wa Gamondi kwa asilimia 100 kutokana na muda. Hivyo Simba mshindwe wenyewe kushinda siku ya jumamosi favour ipo upande wake.