Saikolojia ya wachezaji itakuwa imeathirika sana na ukweli ni kwamba jambo hili limetokea mapema mno mwanzo wa msimu. Ilikuwa kuacha wachezaji wote waliofanya uhuni.Zaidi ya wachezaji wanane hawastahili kuwa Simba.
Natamani wote waliotuhumiwa wapigwe benchi msimu mzima.
Kuna mdau mmoja amesema kwa wote waliohujumu majibu watapata leo.Natamani kujua kilochowakuta
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Natamani wote waliotuhumiwa wapigwe benchi msimu mzima.
Kuna mdau mmoja amesema kwa wote waliohujumu majibu watapata leo.Natamani kujua kilochowakuta
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app