Simba itadhalilishwa hadi lini?

Endelea kusubiri hapo hapo simba kurudishwa kwa wenyewe, kichwa chako kibovu una relate kila kitu na siasa, siasa imekuharibu kichwa jitathimini na jitafakari
Hili andiko ulipaswa kumpelekea MO siyo mimi , Halafu kingine usichokijua ni kwamba siasa ni maisha , haikwepeki
 
Naunga mkono hoja Mkuu huyo Dewji anataka kuitumia Simba kwa manufaa yake binafsi kisiasa pia kifedha aliahidi atatoa bilioni 20 lakini kauli zake kuhusu hiyo bilioni 20 hazieleweki. Halafu nasikia ana own 49% ya timu je ni nani aliyefanya hiyo tathmini ya timu? Je, hizo 49% za shares alizonunua kalipa kiasi gani? Tuliamshe ili hizo namba ziwekwe hadharani hawa wadosi si watu wa kuwaamini hata chembe Mkuu naona kuna kila dalili ya UTAPELI.

 
hajatoa hata senti tano kipande !
 
Kweli mapopoma wako wengi, hiyo mechi ulikuwepo kwenye ratiba ya Simba na AFC napo haikupewa promo! Pili mechi haikuchezwa bure, Ilikuwa ni 5000 kwa 10000 kiingilio, tatu watu tayari kiu ya kuiona Simba ikicheza tena mechi ya kimashindano Ilikuwa ishakata jana yake!!!


Kwa kifupi!!! Wewe na CDM yako ndio mnaleta siasa,


Simba iko kwenye maandalizi ya ligi kuu hawawezi kuacha kujiandaa eti kisa kuna CDM wàko Arusha! Kwa sasa wako mbeya wakiendelea na majukumu yao!!!


NB: Kama Lissu alitaka kujipima na Simba mngemuambia aje siku ya Simba na Namungo!!
 
Kuna wizi unataka kufanyika hapa tena wizi wa kutisha Mkuu.
Taarifa zinaonyesha kwamba MO ndio anachukua hela zote za Simba mpaka viingilio vya mlangoni , akaunti ya MO ndiyo akaunti ya Simba , yaani Simba haina akaunti ya kuweka hela , kamnunua Kaduguda na Manara ili kuzima kelele
 
Reactions: BAK
Nimekudharau sana !
 
Reactions: BAK
Kuna wizi Mkuu tena si mdogo. Wadosi hawa hawaingii mahali bila kuona kuna neema. Kuna haja ya kushinikiza financial statements za klabu zikaguliwe kama zipo na kama hazipo basi tuambiwe ni kwa sababu zipi hazipo?


Taarifa zinaonyesha kwamba MO ndio anachukua hela zote za Simba , kamnunua Kaduguda na Manara
 
Unakosea sana kutuchanganyia siasa na Mpira...yaani Leo hii wewe unauliza Simba kucheza bure mechi ya kirafiki? Umesahau mechi ya Simba na Transit Camp hapo Mo Arena hadi kupelekea katazo la kutumika uwanja ule...kulikua na kiingilio kweli?
Acha uchonganishi...Mauaji ya Kimbali hapo Rwanda yalichochewa kwenye Medias kupitia ubaguzi ubaguzi wa ajabu ajabu...mdomo huponza...fuatilia Kesi ya Jean Paul Akayesu..penda kujifunza...No alikusea kwenye Simba day ila usituchochee kupia gape hilo...weka Siasa zako mbali na mchezo wetu...I hope you're paid for that but kuwa na mipaka...tafuta Mara zenye mashiko kufanya siasa uchochezi haujawahi lipa.
Ni hayo tu.
 
We mshamba ndio wa kunitisha mimi ! Hivi ni kipi hukijui kuhusu sarakasi za Simba Arusha , unataka sisi wanasimba tunyamazie ujinga ule , ukiwekewa barua ya makubaliano yao hapa utakuwa tayari kufuta uchafu wako hapa ?
 
Lisu hana muda wa kujipima na simba, labda kama simba ndio wanataka kujipima na lisu,
 
We mshamba ndio wa kunitisha mimi ! Hivi ni kipi hukijui kuhusu sarakasi za Simba Arusha , unataka sisi wanasimba tunyamazie ujinga ule , ukiwekewa barua ya makubaliano yao hapa utakuwa tayari kufuta uchafu wako hapa ?
Sawa Mimi mshamba so unanijua....ila sijakutisha nimekwambia...ukiweka barua kweli nafuta si ni ushahidi na si blah blah! weka barua hiyo, ili nifute unasubiri nini sasa mjanja wa nyuma ya keyboards...
 
Yale yalikuwa moja ya mazoezi kuelekea ligi kuu maana mda ni mdogo so acha kupaniki hata hivo unaweza kuta ww sio mwanasimba ila ni chura unatuzuga ili wenye simba yetu tukuunge mkono na kama ni mwanaSimba kweli basi mtazamo wako sio sahihi japo kila mtu ana haki ya kuwa na mtazamo wake tusikulaumu sana ni mawazo yako sio ya wanasimba wote.
 

Toka Dewj achukie Timu:
1) VPL 3 mfululizo
2) Ngao 2
3) FA 1
Niambie kabla ya Dewj Simba ilikaa miaka mingapi bila ya kifanya hiyo jeuri?
Ni Miaka mingapi tulikaa tukiwaona Yanga wakicheza mechi za kimataifa sisi tunaishia Nyumbani mpaka wao wakajiita wa Kimataifa sisi wakatuita Wamchangani?
Tafuta hela aacha Wivu wa Kisenge kwa Mwanume mwenzako?
Wewe na Fanboys wenzako wa Kilomoni hamuna uwezo wa kushindana na Dewj kumtoa Simba wakati hamuna uwezo hata wa kuichangia Simba kwa kununua Jezi Original musijisumbue.

As long as Wachezaji hawalalamikii mishahara na Makombe tunabeba basi kila la kheri Mo Dewj endelea kubakia Simba.

Nakushauri: Tafuta hela kwanza, ukishazipata ndiyo kamtoe Dewj pale kwa hela ili uichukue Timu na wewe ndiyo uwe Mfadhili utoe hizo bilioni 20.

Ndugu Huwezi kuwa kapuku ikisha unataka ushindane na Dewj, Dewji hashindaniwi kwa Vijembe na Mipasho Bali kwa hela. Weka hela pambana na Dewj, Lakini unaleta mipasho ikisha unataka usikilizwe? Serious?
Yani Wivu wako kwa Dewj ni sawa na uchawi utakuuwa Bure.
 
Acha KUKURUPUKA na KUROPOKA upuuzi! Mie na huyo Kilomoni wapi na wapi? 😳😳

Kutaka kuona utaratibu unafuatwa bila figisu figisu wengine ni jadi yetu hata kama timu inashinda haina maana taratibu halali ZIKIUKWE.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…