THE FIRST BORN
JF-Expert Member
- Apr 24, 2019
- 2,224
- 4,472
Wenzako huwa wanasindikiza unabii wao na ahadi, kwamba wasipotoka sare uliwe GotIIla hizi ni hisia zangu tu.. Simba at Draw Leo na Mashujaa.
Siku ya ndoa Mtu akisema atakua na wewe Kwa shida na Raha hua anaweka Hadi kama ikiwa otherwise afanyiwe kitu Flani?Wenzako huwa wanasindikiza unabii wao na ahadi, kwamba wasipotoka sare uliwe GotI
Nikikaa kimya na Faidika na Nini???INAFAIDA GANI????
INASAIDIA NINI????
UNAFAIDIKAJE NA UBASHIRI WAKO???
KWANINI USIUACHE USISUBIRI MUDA UONGEE???
Habari.
Sina Mda kuanza kutoa takwimu Mara kuchambua Mchezo wa Leo Ili kuthibitisha hio heading ya Uzi.
Ila hizi ni hisia zangu tu..Narudia hizi ni Hisia Zangu sio kimbinu wala Nini!
Simba at Draw Leo na Mashujaa.
Good morning
simba siyo level ya kanyoko fc, kipigo ni 3+ kwa mashujaaHabari.
Sina Mda kuanza kutoa takwimu Mara kuchambua Mchezo wa Leo Ili kuthibitisha hio heading ya Uzi.
Ila hizi ni hisia zangu tu..Narudia hizi ni Hisia Zangu sio kimbinu wala Nini!
Simba at Draw Leo na Mashujaa.
Good morning π΅πΉ
Samaki aliyefunga mdomo wake hadakwi na ndoano.Nikikaa kimya na Faidika na Nini???
Mashujaa hawawezi mfunga simba,kocha wao nani kwanza?Sio droo tuu bali anakufa
asipokufa unatuahidi nini wanasimba? Kisharuwala?Sio droo tuu bali anakufa
kwani simba anaenda kufunga ndoa? Weka ahadi watu tule goti.Siku ya ndoa Mtu akisema atakua na wewe Kwa shida na Raha hua anaweka Hadi kama ikiwa otherwise afanyiwe kitu Flani?
Watapigwa kama ngoma.Habari.
Sina Mda kuanza kutoa takwimu Mara kuchambua Mchezo wa Leo Ili kuthibitisha hio heading ya Uzi.
Ila hizi ni hisia zangu tu..Narudia hizi ni Hisia Zangu sio kimbinu wala Nini!
Simba at Draw Leo na Mashujaa.
Good morning π΅πΉ
Mashuja atagongeka kama mbwa mwizi vileHabari.
Sina Mda kuanza kutoa takwimu Mara kuchambua Mchezo wa Leo Ili kuthibitisha hio heading ya Uzi.
Ila hizi ni hisia zangu tu..Narudia hizi ni Hisia Zangu sio kimbinu wala Nini!
Simba at Draw Leo na Mashujaa.
Good morning π΅πΉ
Shikamoo bro, kitambo sana, upo lakini?INAFAIDA GANI????
INASAIDIA NINI????
UNAFAIDIKAJE NA UBASHIRI WAKO???
KWANINI USIUACHE USISUBIRI MUDA UONGEE???
πππππMashuja atagongeka kama mbwa mwizi vile
Penalty na faulo ya mchongo lazima zitolewe ila nibebe ashindeHabari.
Sina Mda kuanza kutoa takwimu Mara kuchambua Mchezo wa Leo Ili kuthibitisha hio heading ya Uzi.
Ila hizi ni hisia zangu tu..Narudia hizi ni Hisia Zangu sio kimbinu wala Nini!
Simba at Draw Leo na Mashujaa.
Good morning π΅πΉ