Simba kabla ya kuanza kujua ubora wa kikosi chenu Fukuzeni kocha Fadlu David. Huyu ata aje Messi na Mbape hatutoboi

Simba kabla ya kuanza kujua ubora wa kikosi chenu Fukuzeni kocha Fadlu David. Huyu ata aje Messi na Mbape hatutoboi

William Mshumbusi

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2012
Posts
1,761
Reaction score
2,391
Timu haitashinda mechi yoyote ya ugenini au Ngumu na Huyu huyu Fadlu.

Ana cv mbovu sana akiwa kocha. Mbovu mno. Nimeandika uzi ya kumi hii tena kabla ata hajaja. Wajinga wanamfananisha na Compan na Arteta kwa Kushusha timu daraja na kutoka kuwa asistant.

Mfatilieni Fadlu David kawa kocha mara 7 ni kudundwa tu Ukweli ni kuwa nimefafanua sana kuhusu huyu kocha mapema mnooo.

Soma Pia:
Simba SC ni kama inakimbia kurudi nyuma tu. Timu itaendelea kubomoka, tutatukana wachezaji bure kwasababu ya kocha Mbovu sana.

Fadlu ata aje Messi au Ronaldo au Mbappe Simba haitofanya chochote.
 
Timu haitashinda mechi yoyote ya ugenini au Ngumu na Huyu huyu Fadlu.

Ana cv mbovu sana akiwa kocha. Mbovu mno. Nimeandika uzi ya kumi hii tena kabla ata hajaja. Wajinga wanamfananisha na Compan na Arteta kwa Kushusha timu daraja na kutoka kuwa asistant.

Mfatilieni Fadlu David kawa kocha mara 7 ni kudundwa tu Ukweli ni kuwa nimefafanua sana kuhusu huyu kocha mapema mnooo.

Soma Pia:
Simba SC ni kama inakimbia kurudi nyuma tu. Timu itaendelea kubomoka, tutatukana wachezaji bure kwasababu ya kocha Mbovu sana.

Fadlu ata aje Messi au Ronaldo au Mbappe Simba haitofanya chochote.
Unataka nani aje afundishe Simba?
 
Mama yako naona kapata mimba yako chooni..kwasauri mashoga wenzako yanga wanaokufumua
 
Timu haitashinda mechi yoyote ya ugenini au Ngumu na Huyu huyu Fadlu.

Ana cv mbovu sana akiwa kocha. Mbovu mno. Nimeandika uzi ya kumi hii tena kabla ata hajaja. Wajinga wanamfananisha na Compan na Arteta kwa Kushusha timu daraja na kutoka kuwa asistant.

Mfatilieni Fadlu David kawa kocha mara 7 ni kudundwa tu Ukweli ni kuwa nimefafanua sana kuhusu huyu kocha mapema mnooo.

Soma Pia:
Simba SC ni kama inakimbia kurudi nyuma tu. Timu itaendelea kubomoka, tutatukana wachezaji bure kwasababu ya kocha Mbovu sana.

Fadlu ata aje Messi au Ronaldo au Mbappe Simba haitofanya chochote.
Matola aendelee kubaki?.....shida ya Simba Kuna watu kwenye benchi la ufundi ni wafalme.
Simba inatakiwa isafishe benchi la ufundi iachane na uzawa.
 
Leo Tena mnaanza kumlaumu kamara. Kwa umri wake na mechi za presha vile. Tutawakataa wachezaji wote.

Na kuliacha tatizo fadlu aDavid
 
Timu haitashinda mechi yoyote ya ugenini au Ngumu na Huyu huyu Fadlu.

Ana cv mbovu sana akiwa kocha. Mbovu mno. Nimeandika uzi ya kumi hii tena kabla ata hajaja. Wajinga wanamfananisha na Compan na Arteta kwa Kushusha timu daraja na kutoka kuwa asistant.

Mfatilieni Fadlu David kawa kocha mara 7 ni kudundwa tu Ukweli ni kuwa nimefafanua sana kuhusu huyu kocha mapema mnooo.

Soma Pia:
Simba SC ni kama inakimbia kurudi nyuma tu. Timu itaendelea kubomoka, tutatukana wachezaji bure kwasababu ya kocha Mbovu sana.

Fadlu ata aje Messi au Ronaldo au Mbappe Simba haitofanya chochote.
Kweli
 
Timu haitashinda mechi yoyote ya ugenini au Ngumu na Huyu huyu Fadlu.

Ana cv mbovu sana akiwa kocha. Mbovu mno. Nimeandika uzi ya kumi hii tena kabla ata hajaja. Wajinga wanamfananisha na Compan na Arteta kwa Kushusha timu daraja na kutoka kuwa asistant.

Mfatilieni Fadlu David kawa kocha mara 7 ni kudundwa tu Ukweli ni kuwa nimefafanua sana kuhusu huyu kocha mapema mnooo.

Soma Pia:
Simba SC ni kama inakimbia kurudi nyuma tu. Timu itaendelea kubomoka, tutatukana wachezaji bure kwasababu ya kocha Mbovu sana.

Fadlu ata aje Messi au Ronaldo au Mbappe Simba haitofanya chochote.
Huoni aibu huko uliko
 
Back
Top Bottom