Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Mchezaji yoyote wa Simba popote ulipo, natuma ujumbe kwenu kwa njia zote zinazowezekana.
"NENDENI KAPAMBANENI KUFA"
Kocha ameshaamini mnaweza, mbinu amewapa na sasa mnazifanyia mazoezi. Mwisho wa wiki kafieni uwanjani Mwarabu afe kwake.
Niwakumbushe wajibu wenu kwa mashabiki wenu esp linapokuja suala la hasimu wetu mkuu. Yule akipita tukabaki itakuwa tatizo mtaani zaidi ya zile goli 5.
KILA LA HERI MNYAMA.
"NENDENI KAPAMBANENI KUFA"
Kocha ameshaamini mnaweza, mbinu amewapa na sasa mnazifanyia mazoezi. Mwisho wa wiki kafieni uwanjani Mwarabu afe kwake.
Niwakumbushe wajibu wenu kwa mashabiki wenu esp linapokuja suala la hasimu wetu mkuu. Yule akipita tukabaki itakuwa tatizo mtaani zaidi ya zile goli 5.
KILA LA HERI MNYAMA.