SIMBA KAMA BORA KIJITOA MAPINDUZI KULIKO KUCHEZESHA WALEVI

done12

Member
Joined
Nov 17, 2018
Posts
30
Reaction score
30
Yaani Jana nimeumia sana ni heri kujitoa katika kombe la mapinduzi kuliko kuchezesha wachezaji walevi.maana nasikia eti tunagawnya kikosi chezesheni kikosi cha kwanza jamani sisi tunaumia sana washabiki yanga wanatucheka sana yaani huku mtaani Jana hatukulala tunaomba mtuchezeshee wachezaji wetu wa kawaida .halafu wachezaji wengne waondoke mzigo tu kuanzia kipa hadi yule mwenye nywele za njano hatumii akili yy nguvu tu .simba nguvu moja
 
Kwani kikosi cha kwanza kinatunzwa kwa ajili ya nani?

Wakiwekwa benchi wanalia, wakipewa nafasi bado wanaharibu.
 
Hhahah mkuu, Coulibaly anatumia nguvu kama kaulimbiu yenu inavyohimiza, "Simba nguvu 1"
 
Hakuna kujitoa tutapambana tu! Kombe la mapinduzi halina manufaa yoyote kwa maendeleo ya tim ila naombea tukutane na majirani a.k.a vyura maana tuliwakosakosa sana round hii na ili wapunguza kelele ni vzri tukakutana hata huko mapinduzi ili tuheshimiane mtaani
 
Watapak bus mwanzo mwisho
 
Manara ndio anapochukuaga credit kwa Mambumbumbu kama nyie mliojaa hapo Mikia,yaani wewe furaha yako ni kuifunga Team ya Wananchi tuu na sio Ubingwa?
 
Hatujitoi cici kundi letu mchekea halafu tumehakikishiwa na ZFA kuwa mwaliko wa mashujaa wameufuta kwa hiyo hakuna kikwazo tena

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…