William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,761
- 2,391
Julien yupo Asec toka 2017. Kila mwaka anauza nyota wote lakini msimu unaofata anakiwasha kimataifa.
Kajaza nyota kibao ulaya na Africa. Tunaenda kuchukua kocha mshusha viwango.
Aliishusha kiwango Orando Pires wakamfukuza. Akarudi timu ya awali Murtzsburg akaishusha daraja kabisa. Na huko chini akataka kuishusha tena. Wakamfukuza mazima. Akakaa bila timu mwaka. Baadae akaitwa benchi la ufundi uko Raja Casblanca.
Bila bahasha akyanani Simba itakuwa ya kumi uko.
Soma Pia: FT: Simba SC 2-2 Costal Union | NBC Premier League | KMC Complex | 4 Octoba, 2024
Kajaza nyota kibao ulaya na Africa. Tunaenda kuchukua kocha mshusha viwango.
Aliishusha kiwango Orando Pires wakamfukuza. Akarudi timu ya awali Murtzsburg akaishusha daraja kabisa. Na huko chini akataka kuishusha tena. Wakamfukuza mazima. Akakaa bila timu mwaka. Baadae akaitwa benchi la ufundi uko Raja Casblanca.
Bila bahasha akyanani Simba itakuwa ya kumi uko.
Soma Pia: FT: Simba SC 2-2 Costal Union | NBC Premier League | KMC Complex | 4 Octoba, 2024