Simba kama kikosi ndo hiki hamtatoka kwa KMC

Kalolelo

Senior Member
Joined
Oct 17, 2018
Posts
164
Reaction score
244
1.Dida
2.Colbal
3.Kwasi
4.Paul Bukaba
5.Juko
6.Ndemla
7.Rashid Juma
8.Mzamiru
9.Salamba
10.Niyonzima
11.Kichuya
kama ni kwel hesabuni maumivu na mnachezea shalubu za Pala na hesabuni maumivu
 
WANATEST MITAMBO USIWAZE
1.Dida
2.Colbal
3.Kwasi
4.Paul Bukaba
5.Juko
6.Ndemla
7.Rashid Juma
8.Mzamiru
9.Salamba
10.Niyonzima
11.Kichuya
kama ni kwel hesabuni maumivu na mnachezea shalubu za Pala na hesabuni maumivu
 
Kikosi kizuri hicho. Ni nafasi yao adimu ya kuonyesha uwezo ili wawe wanapangwa kwenye mechi zijazo.
 
sasa wamesajiliwa waokote mipira au? au ulitaka apangwe kindoki?
 
Ana ujauzito wa Simba huyo. Yeye kila thread ni Simba. Tafuta udongo wa chooni au ndimu utulize mimba.
 
1.Dida
2.Colbal
3.Kwasi
4.Paul Bukaba
5.Juko
6.Ndemla
7.Rashid Juma
8.Mzamiru
9.Salamba
10.Niyonzima
11.Kichuya
kama ni kwel hesabuni maumivu na mnachezea shalubu za Pala na hesabuni maumivu
Upooooooo????
 
1.Dida
2.Colbal
3.Kwasi
4.Paul Bukaba
5.Juko
6.Ndemla
7.Rashid Juma
8.Mzamiru
9.Salamba
10.Niyonzima
11.Kichuya
kama ni kwel hesabuni maumivu na mnachezea shalubu za Pala na hesabuni maumivu
Mambo vipi mkuu. Unakionaje kikosi?
 
M
1.Dida
2.Colbal
3.Kwasi
4.Paul Bukaba
5.Juko
6.Ndemla
7.Rashid Juma
8.Mzamiru
9.Salamba
10.Niyonzima
11.Kichuya
kama ni kwel hesabuni maumivu na mnachezea shalubu za Pala na hesabuni maumivu
Mkuu kikosi unakionaje
 
We kenge uliyeleta huu uzi umepotelea wapi?Naamini ulikuwa umekodoa macho kumwangalia Zana Coulibaly ili ukosoe usajili wake,Ila ndani ya dakika 10 tu za kwanza umeishia kumkubali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…