Hahaha Mkuu umeuaaaa!!.Naona itakuwa funzo kwa mjinga mwingine atakayejaribu kuanzisha thread.
Walikuwa wanapumulia mashine na kuomba mpira uishe1.Dida
2.Colbal
3.Kwasi
4.Paul Bukaba
5.Juko
6.Ndemla
7.Rashid Juma
8.Mzamiru
9.Salamba
10.Niyonzima
11.Kichuya
kama ni kwel hesabuni maumivu na mnachezea shalubu za Pala na hesabuni maumivu
Engineer ngapi huko???Soma hiyooooooooo
Injinia.....Engineer ngapi huko???