homeless1
JF-Expert Member
- Sep 24, 2020
- 427
- 950
Simba kama tukitolewa na hao wanaijeria ambao hawajacheza karibia miezi simba mechi za kimashindano mtafute la kutusmbia.
Simba kama tukitolewa na team ambayo kwao hawatakua na mashabiki na sisi kwetu tuna mashabiki mtafute la kutuambia.
Simba kama tukitolewa na team ambayo imefika hapo sio kwa sababu ni bingwa ila kwa sababu ya kuongoza ligi mtafute la kutuambia.
Simba kama tukitolewa na team ambayo haitishi kwenye soka la Africa kama plateau na Local kama plateau nasisitiza hatutawaelewa.
Na maana hatuta kuja kuvuka hatua ya awali kama tutatolewa na team yenye udhaifu mwingi kama plateau.
Kila la kheri team yangu japo mwaka mzima utakua mchungu kama tukishindwa kuwafunga hao plateau.
Simba kama tukitolewa na team ambayo kwao hawatakua na mashabiki na sisi kwetu tuna mashabiki mtafute la kutuambia.
Simba kama tukitolewa na team ambayo imefika hapo sio kwa sababu ni bingwa ila kwa sababu ya kuongoza ligi mtafute la kutuambia.
Simba kama tukitolewa na team ambayo haitishi kwenye soka la Africa kama plateau na Local kama plateau nasisitiza hatutawaelewa.
Na maana hatuta kuja kuvuka hatua ya awali kama tutatolewa na team yenye udhaifu mwingi kama plateau.
Kila la kheri team yangu japo mwaka mzima utakua mchungu kama tukishindwa kuwafunga hao plateau.