Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Takwimu za penati katika Ligi Kuu ya NBC msimu wa 2024/2025, ambapo hadi sasa timu zote zimecheza michezo 16.
Simba SC inaongoza kwa kufunga magoli mengi ya penati ikifuatiwa na Tabora United na Coastal Union.
Yanga SC na Namungo FC ndio vinara wa kukosa penati, kila timu ikiwa imekosa penati mbili kati ya tano walizopata.
Takwimu za Penalti
Simba SC
Jumla ya penati: 7
Penalti zilizofungwa: 7
Tabora United
Jumla ya penati: 5
Penalti zilizofungwa: 4
Penalti zilizokosa: 1
Coastal Union
Jumla ya penati: 5
Penalti zilizofungwa: 4
Penalti zilizokosa: 1
Yanga SC
Jumla ya penati : 5
Penalti zilizofungwa: 3
Penalti zilizokosa: 2
Azam FC
Jumla ya penati :3
Penalti zilizofungwa: 3
Namungo FC
Jumla ya penati: 5
Penalti zilizofungwa: 3
Penalti zilizokosa: 2
Yanga SC na Namungo FC ndio vinara wa kukosa penati, kila timu ikiwa imekosa penati mbili kati ya tano walizopata.
Takwimu za Penalti
Simba SC
Jumla ya penati: 7
Penalti zilizofungwa: 7
Tabora United
Jumla ya penati: 5
Penalti zilizofungwa: 4
Penalti zilizokosa: 1
Coastal Union
Jumla ya penati: 5
Penalti zilizofungwa: 4
Penalti zilizokosa: 1
Yanga SC
Jumla ya penati : 5
Penalti zilizofungwa: 3
Penalti zilizokosa: 2
Azam FC
Jumla ya penati :3
Penalti zilizofungwa: 3
Namungo FC
Jumla ya penati: 5
Penalti zilizofungwa: 3
Penalti zilizokosa: 2