Simba/Kiyovu Live update!

Masaa machache yajayo kitaeleweka kama SIMBA ndio dume la soka upande huu wa kanda ya Afrika Mashariki na kati.

Go......go.....SIMBA go!!!
 
Naona leo uzalendo uko matawi ya juu, hamna shabiki wa yanga aliyevaa jezi za wapinzani wa Mnyama SIMBA!!!

SIMBA 0 -0 KIYOVU
 
Simba imara;yanga makopo؛jana wamakiona cha moto leo tutawafundisha futbol
 
Naona leo uzalendo uko matawi ya juu, hamna shabiki wa yanga aliyevaa jezi za wapinzani wa Mnyama SIMBA!!!

SIMBA 0 -0 KIYOVU

Tunanua jezi kibao tupo hapa kariakoo tunakuja utatuona! Hakuna cha uzalendo wala nini!
 
Masaa machache yajayo kitaeleweka kama SIMBA ndio dume la soka upande huu wa kanda ya Afrika Mashariki na kati.

Go......go.....SIMBA go!!!

Wanazo kwenye Mabegi yao Ngoja tufungwe uone. Hawawezi kuzonesha kwa sababu hawaiamini sana Kiyovu
 
kila la kheri mnyama


mkuu saint
ile mechi ya kigali nilifanikiwa kuiona ukweli halisi awataki kusema
simba alikuwa ashine ile mechi kiyovu sio wazuri kihivyo....kipindi cha pili jamaa walijiamini sana sana
ukiangalia utaoona kipindi cha pili akukuwa na umuhimu wa kumwacha mafisango aendelee kucheza wala sunzu..matokeo yake sub ya kocha ndio iliowaumiza simba walikuwa kama wamelogwa akawatoa watu waliokuwa wanacheza vizuri nakuwaingiza mabomu mwisho wa siku ukiunganisha na wakina sunzu waliochoka na mafisadngo aliekuwa kama kamwagiwa maji ya ffu anavyotulia sehemu mmoja waakanza kuwaonyessha mpira ndipo goli lapili likaja

sisemi vibaya nawaombea kila la kheri ingawa ntawaangalia kwenye runinga niko nkoani kidogo ukweli
kama watachemsha kwenye kufanay sub hakika kiyovu mtatoka sare hata ya mbilimbili na mwisho kuungana na kandambiili..pamoja na hayo wachezaji wa simba lazima wajue jinsi ya kujituma wachezaji wengi awataki kujituma mtaona wanaposhinda wanakuwa kama mabwege hiyo hali inatakiwa kubadilika kwa kila wachezaji wa tanzania na sio simba tu

wish u all the best
 
Myama afe tu! Inanikumbusha kitabu cha zama primary meli ilikuwa inazama mtu mmoja akawa anasema kwa kiruga ambacho sijui tafsiri, "omusoke omusoke,twahwelela", ndivyo simba watakavyolia leo! Nawahi bar!
 
Haya simba nawaombea mshinde, msije kutolewa kama sisi.
 
Kila la heri watani......

Tupo pamoja leo......Utaifa kwanza....
 
Simba wanaongoza kwa goli moja, mfungaji Felix Sunzu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…