Simba kuachana na Okrah Magic

Simba kuachana na Okrah Magic

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610
1685431947847.png

Augustine Okrah na Simba wamefikia makubaliano ya kuachana mwishoni mwa msimu huu, imethibitishwa. 🚨🇬🇭

Okrah alisaini mkataba wa mwaka mmoja na Simba wenye kipengele cha kuongezwa zaidi.

Mambo hayakwenda sawa kama ilivyopangwa kwa hivyo pande zote mbili zimeamua kuachana.

Hivyo, msimu ujao, Okrah hatakuwa kwenye timu.

Wakala wake na wawakilishi kwa sasa wanashughulikia hatima yake inayofuata ambayo itafichuliwa hivi karibuni.

Okrah alitoa shukrani zake za dhati kwa usimamizi wa klabu, timu ya ufundi na wafuasi wazuri kwa muda wake kuwa klabuni.

Credit: Micky Jr
 
Huu ndo ujinga tunaongea Kila siku, timu zetu zinasajili magarasha tu na watu wanapiga pesa za usajili...

Hakuna mchezaji mzuri anayejiamini atakubali kusaini mkataba wa mwaka mmoja, hakuna!!! Hao kina okrah wanaokubali ni mercenaries tu washajikatia tamaa

Haiwezekani mchezaji mzuri akawa amechezea vilabu 12 ndani ya miaka 11, huyu okrah Kila mwaka anahama timu, red flag
 
Yaani napitia tabu sana tangia tushindwe kunyakua kombe lolote msimu huu nausajiri tuliofanya kwakuaminishwa ni vifaa haswa vinatua Simba.

Sijui ni nani haswa anaongoza kamati ya usajiri. Naomba msimu ujao tusirudie makosa
 
Simba imeachana na Okra imewaongezea MKATABA Sackho na Banda.

Kwakweli HAPO HAKUNA MCHEZAJI HATA MMOJA WA CAFCL SEMI FINAL.

Banda Hata LIGI tu imemshinda.
MASHABIKI SIMBA JIANDAENI NA VILIO MSIMU UJAO.HAO SI WACHEZAJI WA UBINGWA MAKOMBE.
Tatizo Yanga ananunua marefa na timu pinzani Sisi Simba tunaonewa Sana tulisitahili makombe yote
 
Banda si mchezaji.
Simba iachane na hadithi kuwa watakuja muuza
 
Simba imeachana na Okra imewaongezea MKATABA Sackho na Banda.

Kwakweli HAPO HAKUNA MCHEZAJI HATA MMOJA WA CAFCL SEMI FINAL.

Banda Hata LIGI tu imemshinda.
MASHABIKI SIMBA JIANDAENI NA VILIO MSIMU UJAO.HAO SI WACHEZAJI WA UBINGWA MAKOMBE.
Wakupe kitengo mkuu naona kila kitu kinachofanyika msimbazi unakiona hakina maana ...ila tatizo kubwa sisi wa Tz tunataka mafanikio ya haraka sanaa.
 
Simba imeachana na Okra imewaongezea MKATABA Sackho na Banda.

Kwakweli HAPO HAKUNA MCHEZAJI HATA MMOJA WA CAFCL SEMI FINAL.

Banda Hata LIGI tu imemshinda.
MASHABIKI SIMBA JIANDAENI NA VILIO MSIMU UJAO.HAO SI WACHEZAJI WA UBINGWA MAKOMBE.
Hamia Yanga FC uneemeke na furaha Chifu, kwanini uteseke na timu bovu ilihali timu nzuri zipo?

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Simba ni upuuzi juu ya upuuzi linapokuja suala la usajili wa wachezaji.


Tutegemee Yanga kutwaa vikombe vyote vya ndani msimu ujao maana wako serious na kazi yao.

Hauwezi tegemea tena wachezaji kama Sacko au Banda ambaye hana tofauti na gari la mkaa eti wakufikishe nusu fainali ya CAF
 
Wachezaji wanaotakiwa kubaki simba ni hawa hapa.

Manula
Ally salim
Inonga
Kapombe
Zimbwe
Kanoute
Chama
Mzamiru
Baleke
Kibu (huyu kwa sabau fulanii Fulani)

Waliobaki wenginee wotee waoneshwe gate LA kutokea, hawana hadhi ya kuwepoo palee wafurushweee.
 
Wachezaji wanaotakiwa kubaki simba ni hawa hapa.

Manula
Ally salim
Inonga
Kapombe
Zimbwe
Kanoute
Chama
Mzamiru
Baleke
Kibu (huyu kwa sabau fulanii Fulani)

Waliobaki wenginee wotee waoneshwe gate LA kutokea, hawana hadhi ya kuwepoo palee wafurushweee.
Hadi phiri
 
Back
Top Bottom