Ila Banda ndio simuelewagi basi tuSimba imeachana na Okra imewaongezea MKATABA Sackho na Banda.
Kwakweli HAPO HAKUNA MCHEZAJI HATA MMOJA WA CAFCL SEMI FINAL.
Banda Hata LIGI tu imemshinda.
MASHABIKI SIMBA JIANDAENI NA VILIO MSIMU UJAO.HAO SI WACHEZAJI WA UBINGWA MAKOMBE.
Simba janja janja wengi,mnaumizana wenyeweYaani napitia tabu sana tangia tushindwe kunyakua kombe lolote msimu huu nausajiri tuliofanya kwakuaminishwa ni vifaa haswa vinatua Simba.
Sijui ni nani haswa anaongoza kamati ya usajiri. Naomba msimu ujao tusirudie makosa
Phiri, Sakho watafuata...
Tatizo ni misumari ya wazawa.
Tatizo Yanga ananunua marefa na timu pinzani Sisi Simba tunaonewa Sana tulisitahili makombe yoteSimba imeachana na Okra imewaongezea MKATABA Sackho na Banda.
Kwakweli HAPO HAKUNA MCHEZAJI HATA MMOJA WA CAFCL SEMI FINAL.
Banda Hata LIGI tu imemshinda.
MASHABIKI SIMBA JIANDAENI NA VILIO MSIMU UJAO.HAO SI WACHEZAJI WA UBINGWA MAKOMBE.
Wakupe kitengo mkuu naona kila kitu kinachofanyika msimbazi unakiona hakina maana ...ila tatizo kubwa sisi wa Tz tunataka mafanikio ya haraka sanaa.Simba imeachana na Okra imewaongezea MKATABA Sackho na Banda.
Kwakweli HAPO HAKUNA MCHEZAJI HATA MMOJA WA CAFCL SEMI FINAL.
Banda Hata LIGI tu imemshinda.
MASHABIKI SIMBA JIANDAENI NA VILIO MSIMU UJAO.HAO SI WACHEZAJI WA UBINGWA MAKOMBE.
Tukupe jezi ukacheze naona unabwabwaja tu mkuuBanda si mchezaji.
Simba iachane na hadithi kuwa watakuja muuza
Hamia Yanga FC uneemeke na furaha Chifu, kwanini uteseke na timu bovu ilihali timu nzuri zipo?Simba imeachana na Okra imewaongezea MKATABA Sackho na Banda.
Kwakweli HAPO HAKUNA MCHEZAJI HATA MMOJA WA CAFCL SEMI FINAL.
Banda Hata LIGI tu imemshinda.
MASHABIKI SIMBA JIANDAENI NA VILIO MSIMU UJAO.HAO SI WACHEZAJI WA UBINGWA MAKOMBE.
Hadi phiriWachezaji wanaotakiwa kubaki simba ni hawa hapa.
Manula
Ally salim
Inonga
Kapombe
Zimbwe
Kanoute
Chama
Mzamiru
Baleke
Kibu (huyu kwa sabau fulanii Fulani)
Waliobaki wenginee wotee waoneshwe gate LA kutokea, hawana hadhi ya kuwepoo palee wafurushweee.