kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,634
- 7,015
NAPENDEKEZA PICHA HII ITUMIKE
View attachment 1360811
Mchango wa kuchora hii lazima alipewa Steve Nyerere.Hii iko poa sana,Simba nguvu mojaView attachment 1360923
Hilo ndiyo la kwanza. Huenda logo tayari Mo anayo. Hii zuga tu.Hapo Mo anatia kitu chake cha promo ya bidhaa zake.
Bora wangeweka chura akiliwa na simba,Waambie watoe hilo duara, halafu waongeze simba jike na cub yaani wawe simba dume na jike na cub waweke na kaswala kwa image ya Mpira kakiwa chini kanaliwa na hao simba. Tutarepresent timu ya wanaume, wanawake na vijana
Simba kavaa wigiHii iko poa sana,Simba nguvu mojaView attachment 1360923
Yangu tuna matatizo kwakweliHaitakuwa mara ya kwanza mkuu mlishazoea kuharibu logo za watu.View attachment 1360854View attachment 1360855View attachment 1360856View attachment 1360857View attachment 1360858View attachment 1360859
Sent using Jamii Forums mobile app
Logo bora kabisaSimba kavaa wigi
Huyu Simba mzee sana hajiamini kabisa labda huyu atafaaNAPENDEKEZA PICHA HII ITUMIKE
View attachment 1360811
Hivi kwanini watanzania tuna Tania za kijinga? Wewe unamshambulia mohamedi kiss ni mfadhili wa simba?
Hivi wewe upo sawa kweli?Hivi kwanini watanzania tuna Tania za kijinga? Wewe unamshambulia mohamedi kiss ni mfadhili wa simba?
Hivi unajua mohamedi kwa kulipatu kodi serikalini wewe unapata huduma bora? Watoto wako wanasoma elimu Bure kutokana na kodi anazolipa huyo unae mnanga kila siku.
Punguzeni ujinga na uyanga wa kishamba Ndugu matajiri ndio wanakufanya unaishi kwa Amani nchi hii.mkuu kwa waotu kulipa kodi. Waheshimu sana.
Sent using Jamii Forums mobile app