Simba kuelekea Championship Try Again and Barbra chukueni hii

Ni Champions league siyo Championiship
 
Bundi katua asubuhi namna hii? Ni kama Simba na Yanga zina haki ya kutofungwa
hivi mbona malalamiko ya wana simba yanpuuzwa? ina maana jana hamjui watu wanalalamika nini? ile display ilikuwa ya hovyo kabisa hata kama wangeshinda watu wangelalamika tu
team namba 6 na 9 haina, tangu wakati wa usajili hadi dirisha linafungwa watu wamepiga kelele na pengo linaonekana, watu wasilalamike sasa?
Anasubiriwa manzoki kwenye ndoto za hewani utadhani afrika nzima hakuna namba 9
Mojawapo ya madaia ya onyango ni kutomaliziwa pesa zake za usajili, tuna uhakika gani kama wachezaji wengine hawadai hela? maana jana walicheza kama wamelazimishwa
 
Kigwangala alivyokuwa anadai tuambiwe wapi zipo 20b na zinafanya kazi gani tulikuwa tukimbeza.

Muhindi tapeli sasahivi yupo busy na Ndondi.. Tajiri gani anagombania tender za kusambaza gunia za korosho na wafanyabiashara wanaochipukia. Hakuna tajiri kuna tapeli msimamizi wa mali za familia..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…