Simba kuendelea KUWANYOOSHA LIGI YA BARA

Simba kuendelea KUWANYOOSHA LIGI YA BARA

Kama Kawaida Mnyama anaingia UHURU kujichukulia Pointi zake tatu na kujichimbia kileleni

Sio tatu tu. Mnyama Amechukua point 60! Na ligi imeisha! Simba BINGWA!! Waiter zungusha zungusha raundi kama tulivyo, mara 24!! Leo tunatoka hapa asubuhi tukisherehekea ubingwa!!!
 
Hongereni kwa kuchukua pointi tatu,maana wenzenu hawachezi mnacheza nyinyi tu.
 
Thimba aitheee.... Kichuya hakuwepo? Bikra ikishatolewa, subiri kukamatwa mkono tu... Na prison ndo huyooo anakuja kukufungia rumande.
 
Back
Top Bottom