Simba kufungwa Kombe la Shirikisho ni fedheha kwa taifa

Simba kufungwa Kombe la Shirikisho ni fedheha kwa taifa

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Uchambuzi wangu

Kombe la shirikisho (kama linavyoitwa ni kombe ambalo ni low quality linashirikisha timu ndogo zilizojichokea budgetically, financially and physically that's y linaitwa kombe la wamama.......kaduguda (2022)

Our expectations
Tulitegemea Simba hatafungwa mechi yoyote huko kwenye kombe la shirikisho ( kombe la wamama) Kwan hakuna timu tishio .....hivyo tulitegemea Simba atafuata nyendo za Yanga

Imagine kama Simba amekandwa Kee kombe la wamama .. imagine angekuwa club bingwa ingekuwaje????

NB: ni muda wa timu ya Simba kuwapeleka wachezaji kulima mashamba ya migomba huku tukuyu.....hamna mpira pale[emoji32][emoji32]

Cc: happy uhuru day to all comrades
1733682600242.jpg
 
Timu yako ina points ngapi?
 

Attachments

  • Screenshot_20241209-104423.png
    Screenshot_20241209-104423.png
    279.8 KB · Views: 5
Uchambuzi wangu

Kombe la shirikisho (kama linavyoitwa ni kombe ambalo ni low quality linashirikisha timu ndogo zilizojichokea budgetically, financially and physically that's y linaitwa kombe la wamama.......kaduguda (2022)

Our expectations
Tulitegemea Simba hatafungwa mechi yoyote huko kwenye kombe la shirikisho ( kombe la wamama) Kwan hakuna timu tishio .....hivyo tulitegemea Simba atafuata nyendo za Yanga

Imagine kama Simba amekandwa Kee kombe la wamama .. imagine angekuwa club bingwa ingekuwaje????

NB: ni muda wa timu ya Simba kuwapeleka wachezaji kulima mashamba ya migomba huku tukuyu.....hamna mpira pale[emoji32][emoji32]

Cc: happy uhuru day to all comrades View attachment 3172867
Kwani hiyo picha ni ya goalkeeper ama ya mfungaji mfuta machozi?
 
Hii timu tuliambiwa ni timu bora kubwa kabisa inayoshika nafasi ya 5 Barani Afrika! Sasa sijui ni kwa nini na yenyewe imekubali kufungwa kirahisi tu na timu ya nafasi ya chini kama hiyo ya Costantine.
 
Amna ila kule club bingwa Amna timu timu mpeche mpeche ...kama shirikisho....kule CAF ni kigumu
Kwani timu yenu ndio ya kwanza kutoka Tanzania kushiriki club bingwa Afrika, Simba ilishiriki na ikaongoza kundi ambalo kulikuwa na bingwa mtetezi ambaye aliahika nafasi ya tatu mashindano ya vilabu ya dunia.
 
Hii timu tuliambiwa ni timu bora kubwa kabisa inayoshika nafasi ya 5 Barani Afrika! Sasa sijui ni kwa nini na yenyewe imekubali kufungwa kirahisi tu na timu ya nafasi ya chini kama hiyo ya Costantine.
Pia wapo loser cup
 
Back
Top Bottom