kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
GSM ameongea na kukubaliana na mwenye mbwa, TFF kuhusu udhamini wa ligi kuu. Timu kugomea kuvaa nembo ya GSM ni dharau kubwa kwa mwenye mpira wake na sio kwa GSM. Huku ni kuota mapembe dhidi ya baba yako, lazima watapata laana la kimichezo.
Hapa mbwa ameifuata TFF hadi msikitini. Wacha waendelee kupata matokeo mabaya na kusingizia viwanja na kusahau laana ya TFF.
Hapa mbwa ameifuata TFF hadi msikitini. Wacha waendelee kupata matokeo mabaya na kusingizia viwanja na kusahau laana ya TFF.