Simba kuitoa Al Ahly ngumu

Simba huwa inatabia ya kufanya maajabu kwenye mambo magumu.mpaka kufika october Simba itaimarika.
Mechi za mwisho Simba Vs Al Ahly,,Ahly alikufa moja kwa Mkapa alafu kule Misri pia Simba akafa moja.
Endelea kuota mkuu
 
Mimi ni Simba pia, Simba anaweza kushinda ila sio kumtoa Al ahly kwenye haya mashindano. La muhimu ni kuwa tuna 2B+ basi hilo ndio kubwa na kujipanga kufika mbali kwenye klabu bingwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…