Endelea kuota mkuuSimba huwa inatabia ya kufanya maajabu kwenye mambo magumu.mpaka kufika october Simba itaimarika.
Mechi za mwisho Simba Vs Al Ahly,,Ahly alikufa moja kwa Mkapa alafu kule Misri pia Simba akafa moja.
Iyo ni kumbukizi mwana Uto.Endelea kuota mkuu
Iyo ni kumbukizi mwana Uto.
OkAnyooshe maelezo vizuri, siyo ngumu sana ni haiwezekani.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app