Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 2,203
- 5,610
Taarifa nne tofauti kuhusu benchi la ufundi zitakujia leo kupitia Simba App.
⏰ Saa 7:00 mchana
⏰ Saa 8:30 mchana
⏰ Saa 10:00 jioni
⏰ Saa 11:30 jioni
--
Stay tuned hapa ntawaletea yatakayojiri.
Updates
𝗦𝗜𝗠𝗕𝗔𝗦𝗖 𝗬𝗔𝗔𝗖𝗛𝗔𝗡𝗔 𝗡𝗔 𝗞𝗢𝗖𝗛𝗔 𝗪𝗔 𝗠𝗔𝗞𝗜𝗣𝗔.
✍️ Taarifa rasmi kutoka club ya @simbasctanzania imeachana na aliekua kocha wake wa makipa Mr Zakaria Chlouha.
Picha: Zakaria Chlouha
SIMBA YAACHANA NA KOCHA WAKE WA Viungo
Uongozi wa klabu ya Simba umefikia makubaliano ya kuachana na Kocha wetu wa Viungo Kelvin Mandla ikiwa sehemu ya kuboresha benchi lao la ufundi kuelekea msimu ujao.
Kocha huyo raia wa Afrika Kusini alijiunga na Simba Novemba. Huenda Simba ikatangaza mbadala wa kocha huyo saa chache baadaye.
Picha: Kelvin Mandla
⏰ Saa 7:00 mchana
⏰ Saa 8:30 mchana
⏰ Saa 10:00 jioni
⏰ Saa 11:30 jioni
--
Stay tuned hapa ntawaletea yatakayojiri.
Updates
𝗦𝗜𝗠𝗕𝗔𝗦𝗖 𝗬𝗔𝗔𝗖𝗛𝗔𝗡𝗔 𝗡𝗔 𝗞𝗢𝗖𝗛𝗔 𝗪𝗔 𝗠𝗔𝗞𝗜𝗣𝗔.
✍️ Taarifa rasmi kutoka club ya @simbasctanzania imeachana na aliekua kocha wake wa makipa Mr Zakaria Chlouha.
Picha: Zakaria Chlouha
Uongozi wa klabu ya Simba umefikia makubaliano ya kuachana na Kocha wetu wa Viungo Kelvin Mandla ikiwa sehemu ya kuboresha benchi lao la ufundi kuelekea msimu ujao.
Kocha huyo raia wa Afrika Kusini alijiunga na Simba Novemba. Huenda Simba ikatangaza mbadala wa kocha huyo saa chache baadaye.
Picha: Kelvin Mandla