Simba kukata rufaa goli la chirwa wadai aliotea

Beira Boy

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2016
Posts
19,976
Reaction score
32,195
Aman iwe nanyi wapendwa

Wale mezan fc, wa kupakatwa fc, fifa fc wamedai wanataka kukata rufaa kwa gol la kusawazisha wa chirwa et aliotea


Mezan fc mna bahat sana pambanen na hali zenu hakuna point za bure hapa


LONDON BABY
 
Aman iwe nanyi wapendwa

Wale mezan fc, wa kupakatwa fc, fifa fc wamedai wanataka kukata rufaa kwa gol la kusawazisha wa chirwa et aliotea


Mezan fc mna bahat sana pambanen na hali zenu hakuna point za bure hapa


LONDON BABY
weka clip tuone
 
Sio kukata rufaa kwa ajili ya goli, bali kwa ajili ya ule mkono wa Yondani ile ni penati iliyo wazi.
Tafuta video za azam tv zinaonyesha.
 
Aishi salum manula (cheza maridadi Sana Leo)
 
Aman iwe nanyi wapendwa

Wale mezan fc, wa kupakatwa fc, fifa fc wamedai wanataka kukata rufaa kwa gol la kusawazisha wa chirwa et aliotea


Mezan fc mna bahat sana pambanen na hali zenu hakuna point za bure hapa


LONDON BABY
Sare imewatoa kimasomaso! Inaelekea mlitegemea kifo, Maana kila chura anatabasamu usoni.
 
Yaan pamoja na volleyball aliyocheza yondan bado mnapiga kelele tu?!!
 
Kaendelee na uzi wa intaviuuuu kule!
Droo naona kwa ndala imefirahiwa sanu wakati simba ni majonzi..
 
Aman iwe nanyi wapendwa

Wale mezan fc, wa kupakatwa fc, fifa fc wamedai wanataka kukata rufaa kwa gol la kusawazisha wa chirwa et aliotea


Mezan fc mna bahat sana pambanen na hali zenu hakuna point za bure hapa


LONDON BABY
mzee wa misukule usiku huu imeamka nini misukule yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…