[HASHTAG]#YeboYebo[/HASHTAG] Nyote Muna akili za Chura!
Katika Press Conference nzima hakukua na hata sehemu moja Manara aliyoilalamikia TFF...
Manara aliolalamikia ni Unaa was Marefa uwanjani na wala so nje ya uwanja (TFF)...
Mpira hauchezeshwi na TFF, Bali Ndani ya Pitch anaesimama ni Refa..
So, jifunzeni ufahamu....