Simba kukata rufaa goli la chirwa wadai aliotea

Mpira uwe mpira. Kwa Mwakyembe ni siasa tu. Genuine issues za mpira lazima ziende TFF sio kwa Waziri.
Lakini kwa mambumbumbu, kila kitu kinawezekana. Akili za kushikiwa na Manara na akina Makofia
 
Kama ndivyo kwanini kipindi kile hamkuwalaumu marefa badala yake lawama za kushindwa kwenu mliwatwisha kina Malinzi! Na msimu huu mjiandae kisaikolojia!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…