TEAM 666
JF-Expert Member
- Dec 7, 2017
- 4,399
- 8,594
Uongozi wa Simba kulingana na taarifa zilizotolewa na Haji Manara ambaye ni Mkuu na Mkuu wa habari wa habari mbele ya mechi yao dhidi ya Plateau United jambo hili halijakaa poa. Wangetafuta namna ya kuona sawa na kusawazisha lakini sio kumkataa kwa sababu siamini kama Manara ametoka tu nyumbani alifanya wanahabari akaongea.
Naamini alikuwa na baraka zote za klabu ndio maana alikuwa na Kaimu Mwenyekiti Mwina Kaduguda. Kama imetokea ameteleza, inatakiwa klabu itoea taarifa ya kufafanua na kuona sawa na msimamo wa klabu juu ya jambo fulani lakini sio kumkataa moja kwa moja.
Jambo hili linatazama katika kiwango cha kitaasisi na Manara alikuwa anaiwakilisha taasisi. Mimi naamini Simba ilimtuma Manara mavazi na wanahabari kwa lengo la kuamsha mechi ya Jumamosi kutokana na alivyojijengea umahiri katika eneo hilo.
Mwisho wa siku hakuna mtu anaezuiwa kwenda uwanjani, viwanjani sisi tunahamasisha amani, kweli, watu kushangilia na kuzodoana kupo lakini sio hatua hatua ya kutengeneza chuki na uadui.
Naamini alikuwa na baraka zote za klabu ndio maana alikuwa na Kaimu Mwenyekiti Mwina Kaduguda. Kama imetokea ameteleza, inatakiwa klabu itoea taarifa ya kufafanua na kuona sawa na msimamo wa klabu juu ya jambo fulani lakini sio kumkataa moja kwa moja.
Jambo hili linatazama katika kiwango cha kitaasisi na Manara alikuwa anaiwakilisha taasisi. Mimi naamini Simba ilimtuma Manara mavazi na wanahabari kwa lengo la kuamsha mechi ya Jumamosi kutokana na alivyojijengea umahiri katika eneo hilo.
Mwisho wa siku hakuna mtu anaezuiwa kwenda uwanjani, viwanjani sisi tunahamasisha amani, kweli, watu kushangilia na kuzodoana kupo lakini sio hatua hatua ya kutengeneza chuki na uadui.