McFerson
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 2,166
- 2,322
Wasalaam
Hii imekuwa kawaida kwa Yanga(GongoW) na wachambuzi wa mlengo wa kingongoW, yaani kila wakihisi Mnyama kawaacha kwa alama kadhaa lawama zote huwaangukia Karia na waamuzi.
Ushauri wangu:
Jifunzeni kwa mashabiki wa Mnyama, yeye mambo yakimwendea ndivyo sivyo anadeal na wachezaji au viongozi wake.
Hii imekuwa kawaida kwa Yanga(GongoW) na wachambuzi wa mlengo wa kingongoW, yaani kila wakihisi Mnyama kawaacha kwa alama kadhaa lawama zote huwaangukia Karia na waamuzi.
Ushauri wangu:
Jifunzeni kwa mashabiki wa Mnyama, yeye mambo yakimwendea ndivyo sivyo anadeal na wachezaji au viongozi wake.