Simba kuongoza ligi: TFF na waamuzi mjipange kwa lawama

McFerson

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2015
Posts
2,166
Reaction score
2,322
Wasalaam

Hii imekuwa kawaida kwa Yanga(GongoW) na wachambuzi wa mlengo wa kingongoW, yaani kila wakihisi Mnyama kawaacha kwa alama kadhaa lawama zote huwaangukia Karia na waamuzi.

Ushauri wangu:
Jifunzeni kwa mashabiki wa Mnyama, yeye mambo yakimwendea ndivyo sivyo anadeal na wachezaji au viongozi wake.
 
Mpira ni mchezo wa wazi hakuna anaye ionea wivu simba, ila wanapata matokeo kwa kununua.
Mfano wa kushangaza katika mechi ya jana ule mpira alio upata Luis Nickson akiwa zaidi ya mita 15 off side lakini line 2 ka kausha.

Bahati Beki wa Singida Nicholaus Wadada aka muwahi na kuchukua mpira sasa ile utasema ni makosa ya kibinadamu!!!
Mnacho fanya ni Futuhi na hamta toboa.
Bahati nzuri Yanga wanakikosi Bora kabisa kwaiyo ubingwa ni Swala la Muda tu.
 


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo ndo dawa yenu. Mnatoa milioni 25 kwa timu pinzani ili Simba ifungwe, sisi tunaongea na match officials kwa milioni 3 tu wanatubeba. Waongezeeni dau Kagera Sugar mje muone tutakachowafanyia na wao.
 
Nyie mbwiga mnajilinda kwa kuzuia kwa mbele. Lawama kwani hujaziona?. Waamuzi wakichezesha kwa haki kwa nini wapate lawama?. Rudia michezo ya simba yote kuanzia ngao ya jamii. Mfano hai goli la Singida lililokataliwa jana lilikuwa na tatizo gani?. TFF ya karia lawama hawawezi kukwepa ksbb mazingira yanaonyesha wazi timu fulani inaandaliwa mazingira ya ubingwa. Walivuruga mechi za Ngao ya jamii kwa kuiandalia timu fikani ubingwa. Wanazivunja timu nguvu timu zingine
 
Sikuona marudio vizuri ya lile tukio. Nilishtuka tu Miqu anasubiria mpira peke yake. Wakati anapasiwa,Miqu alikuwa wapi exactly?
 
Manara alikuwa sahihi ukimtoa kikwete na baba ake mashabiki wa Yanga waliobaki wote hawana akili kweli binadamu tumeumbwa kusahau mwaka jana Utopolo na Geita mtu kashika nje ya penat box refa kaweka tuta sisi mbona hatukuwahi kulalamika tukaona makosa ya kibinadam that's why Nchi zilizoendelea zinawka VAR mnajizima data utopolo mechi ya Geita na Yanga mwaka jana mtu kashika nje ya box inaweka penat mbona hamkusema
 
Tunavyolalamika kama vile yanga hatutoi bahasha 😂😂😂 kila mtu ashinde tuone vichekesho
 
akima mama rede ipo kwa ajili yenu acheni kulazimsha michezo musiyoiweza wala kujua sheria zake.

wakati ule mpira unapigwa kipa alikuwa nje ya kisanduku kwa hiyo alihesabika kama mchezaji na offside ikawa ameiua.
 
Waamuzi ni changamoto TZ, hata Simba Jana Kuna movement moja ya goli walikuwa wanaenda ila mshika kibendera akaonesha ni offside lakini marejeo ya picha ukiangalia Wala siyo offside, sidhani kama tuna waamuzi wanaochezesha mechi za kimataifa Kwa wingi...Ukiacha uwezo mdogo wa waamuzi, hivi vilabu vya Simba na yanga ni janga, unazi ni mwingi kupitiliza, jamii yenye siasa za ajabu huathiri Kila sekta...ona uingereza kule licha ya kuendelea lakini wana waamuzi wa hovyo, tofauti tu they are smart enough.
 
Shida sio Simba, Shida ni waamuzi wana uwezo mdogo, fuatilien mechi za timu ndogo zikiwa zinacheza muone futuhi, ni vichekesho hasa.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila Uto mnafurahisha sana, sasa mkuu kwani zile penati aliwapigia Karia ?
 
Singida wana jifunza kucheza offside trap kitu ambacho ni hatari pindi inapofeli mfano mzuri kaangalie goli la mwisho walilofungwa na Future fc kule Misri ..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…