Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Kama Brazil vile,mashabiki wanawakutaga UwanjaniNkana waje wachezaji Tu washangiliaji itawakuta hukuhuku
Mkuu, nina mawazo kama ya kwako. Ndiyo maana naiona sare.Simba itapata bao Tu bila shida lakini kuwazuia Nkana wasipate bao ndiyo itakuwa kazi ngumu Kwa Simba.
Jamaa kesho atateleza kama nyoka pangoni[emoji134] [emoji134] View attachment 974529
Mbona hakufunga mbili kule kitwe [emoji196] [emoji196] [emoji196]Yule winga aliyefunga bao la 2 kule kitwe hawezi waacha salama, hata wamloge vipi mguuni kakwe ana goli2
Kwa mchina simba anashinda akipumzishwa Wawa na akaanza juukoMbona hakufunga mbili kule kitwe [emoji196] [emoji196] [emoji196]
Tatizo kocha kamkariri bokoSimba pale nyuma aanze wawa na juuko, alafu elasto aende beki wa kulia , shabarara kama kawa, kotei dimba la chini mkude juu, dilunga na chama, okwa na kagere, sub kichuya na boko, game tunashinda
Kesho ndio anafungaMbona hakufunga mbili kule kitwe [emoji196] [emoji196] [emoji196]
Kesho tutahakikisha tunawarudisha nyumbani vichwa chini.Hilo tumelipokea kwa Mikono miwili kabisa,kikosi kazi cha Matarumbeta cha Yanga kutoka Ubungo Terminal na Yanga whatsApp Supporter kitakuwa Taifa mapema iwezekanavyo.
Hawahitaji kuomba. Support ipo kama kawaida.Kupitia ukarasa wa mtandao wa kijamii wa Facebook, uongozi wa Nkana FC umewaomba mashabiki wa Yanga kuisapoti timu hiyo katika kampeni yake ya kuiondoa Simba kwenye Ligi ya Mabingwa kutokana na uwepo wa Kessy aliyewahi kutumikia timu yao.
Taarifa hiyo ilisema kuwa: “Wapendwa mashabiki wa Yanga acha kwa sasa tuwe familia ya Nkana Yanga, Nkana pia ni timu yenu, jiungeni pamoja nasi wikiendi hii Dar es Saalam kwa kuipa sapoti Nkana ili iweze kuwaondoa Simba katika Ligi ya Mabingwa Afrika.
“Lakini na mashabiki wa Yanga wakumbuke Kessy pia ni mtoto kutoka kwenye ardhi yao, wampe sapoti wikiendi hii,” ilisema taarifa hiyo.