Simba kupata bao kwa Nkana sio shida, shida ni kuwazuia nao kupata bao

Iko siku tutapigana vita Halafu tukaombwa support Na adui tukatoa jinsi tulivo nyumbu
Mungu ubariki Simba
Mungu bariki Tz

#Kufanakupona
[emoji23][emoji2][emoji23]easy mkuu,dong take everything so serious,
Ilbd uwaambie nkana wakija waje na mchele na unga jangwN njaa,
Huu ndo utam wa soka
 
Kwa nini wanahangaika hivyo? Sisi hatuhitaji maombi yao we are very very committed on that, kwa muda huu mfupi hata wangeanzisha kampeni ya changia Nkana iitoe simba tungechanga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Duh,mkuu umeniuliza very technique questions afu nmetoka kapa.
Sijui kwa kweli,why
Vizuri ndugu yangu ngoja nikuhabarishe kwa nini Zanzibar hakuna mchezo wa ngumi, inasemekana mchezo huo ulikuwapo Zanzibar, kuna siku mzee Abeid Amani Karume alikuwa kwenye pitapita zake akawaona watu wanapigana, akauliza hawa wote ni waznzibari? Akijibiwa ndiyo, akauliza wanapigania nini? Akaambiwa wanafanya mazoezi ya ngumi (sparring), akasema ikiwa wazanzibari wanapigana wenyewe kwa wenyewe akija adui watafanya nini? hivyo mchezo huu marufuku Zanzibar.
 
Duuh..
Nimekuelewa mkuu why umetoa mfano huu.
Bravo mkuu[emoji109] tuko pamoja
 
Pamoja na hayo,kipigo cha Mikia kipo pale pale na Sisi mashabiki wa kujitolea wa Nkana tupo nao bega kwa bega mpaka kieleweke.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…