Nusu funali ipi?? Mbona wagumu kuelewa nyie kombe LA FA ni LA Azzam sio LA AfricaAkitinga nusu fainali kunauwezekano wa tim nne kushiriki kwahiyo top 4 za ligi zitaenda kimataifa.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Vitali Soma khabari uzuri Kisha ndio ujibu, iliozungumziwa hapo juu ni nusu FINALI ya kombe LA shirikisho LA AZAM na sio LA AfricaAkitinga nusu fainali kunauwezekano wa tim nne kushiriki kwahiyo top 4 za ligi zitaenda kimataifa.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Amka wewe ndoto za mchana sio nzuriKuna kila dalili Yanga akachukua ubingwa msimu huu, kuna uwezekano mkubwa Simba akatolewa nusu fainali kwenye FA. Hii inaashiria kuwa msimu ujao Simba hawatashiriki michuano yoyote ya Kimataifa, hii itawapa muda waweze kujenga upya Kikosi chao ambacho kimejaa wachezaji wenye umri mkubwa kama Kapombe, Mkude, Onyango, Bocco, Wawa, Kagere, Chama na wengine.
Tatizo la kulala banda Moja na ng'ombe wa kishika uchumba cha mayele litazidi kuwaondoa maarifa na uwezo wa kufikiriKuna kila dalili Yanga akachukua ubingwa msimu huu, kuna uwezekano mkubwa Simba akatolewa nusu fainali kwenye FA. Hii inaashiria kuwa msimu ujao Simba hawatashiriki michuano yoyote ya Kimataifa, hii itawapa muda waweze kujenga upya Kikosi chao ambacho kimejaa wachezaji wenye umri mkubwa kama Kapombe, Mkude, Onyango, Bocco, Wawa, Kagere, Chama na wengine.
Sema chekecheaIkitokea hivyo itakuwa pigo kubwa kwa taifa maana watakaoiwakilisha nchi kama kawaida watatolewa raundi ya awali (sio ya kwanza, ya awali)
Kwaiyo mnajidanganya simba atafika nusu fainali!!! Akili zenu rage aliziona mapema 🤣🤣🤣🤣dah!,mtani unayumba sana.kwa mashabiki wote wa Uto huwa nakitegemea wewe tu ndo angalau huwa unajitahidi.
Simba akitolewa nusu fainali atakua na zaidi ya point 30.5 point ambazo zitapeleka timu nne kimataifa.
ina maana hata kabla ya kujulikana bingwa wa msimu huu ligi ya NBC tayari Simba atakua keshawapeleka kimataifa nyinyi Uto na wenzenu wengine wawili.
sijui umeelewa?
Wewe ndy hujaelewa nusu fainal aliyosema vitali niya caf akiwa anamanisha ata yatokee liyosem mtoa mada bado simba kama itafika nusu fainal ya caf bas Tanzania itapeleka team nne hivo haitakuwa na haja ya kuchukua fa na ligi kuu.Vitali Soma khabari uzuri Kisha ndio ujibu, iliozungumziwa hapo juu ni nusu FINALI ya kombe LA shirikisho LA AZAM na sio LA Africa
Habari nimeielewa na mtoa mada alimaanisha Simba hatashiriki kimataifa msimu ujao kisa tu hatachukua ubingwa na kwenye fa ya Azam atatolewa mapema. Mimi nimejibu kuwa anaweza asichukue ubingwa na FA Ya Azam lakini iwapo atafika Nusu fainali FA ya CAF Basi zitaenda Tim nne kwahiyo automatically nafasi ya pili na yatatu kwa upande wa ligi wataenda.Vitali Soma khabari uzuri Kisha ndio ujibu, iliozungumziwa hapo juu ni nusu FINALI ya kombe LA shirikisho LA AZAM na sio LA Africa
FA sio confederation mkuuSimba kufika nusu fainali umendika [emoji121]wewe mwenyewe soma hapo.