babu onyango
JF-Expert Member
- Jan 12, 2023
- 378
- 984
HahahhahShida kubwa ya Simba ni kuongozwa na viongozi wasio na elimu, kifupi hii timu imejaa mbumbumbu kuanzia viongozi paka mashabiki
Mkuu afadhali umeweza kulitambua ilo mapema, hawa ndugu zetu tunajitahidi sana kuwatoa umbumbumbu lakini hawaelewiShida kubwa ya Simba ni kuongozwa na viongozi wasio na elimu, kifupi hii timu imejaa mbumbumbu kuanzia viongozi paka mashabiki
Siyo kulogwa ni Kurogwa. Mjitahidi kwenda shule madogo siyo mnashinda JF kuandika upupu tu daily.Hawa ndugu zetu sijui wamelogwa na nani, Wakati dada zao wanautumia chamazi kama uwanja wa nyumbani wao wamekimbilia mkoani Morogoro kisa wanaogopa kulogwa.
Walikimbilia CCM kirumba mkoani Mwanza wakaishia kudondosha points, sasa wamehamia Morogoro wakizani labda wataepuka vipigo.
Niwaambie tu ya kwamba Uwanja hauchezi mpira, mtatangatanga kote lakini mkikutana na Yanga ni kipigo tu km cha mbwa mwizi na Ubingwa mtaishia kuusikia tu.
Cc. RAGE
Kifupi, imani za kishirikina ndo zinawahangaishaHawa ndugu zetu sijui wamelogwa na nani, Wakati dada zao wanautumia chamazi kama uwanja wa nyumbani wao wamekimbilia mkoani Morogoro kisa wanaogopa kulogwa.
Walikimbilia CCM kirumba mkoani Mwanza wakaishia kudondosha points, sasa wamehamia Morogoro wakizani labda wataepuka vipigo.
Niwaambie tu ya kwamba Uwanja hauchezi mpira, mtatangatanga kote lakini mkikutana na Yanga ni kipigo tu km cha mbwa mwizi na Ubingwa mtaishia kuusikia tu.
Cc. RAGE
Humi ndani kuna vichaa wengi sana haswa mleta mada na supporter wakeYaani umekaa ukaanzisha uzi wa uwanja wa nyumbani wa Simba
Vigagula walioshindikanaKifupi, imani za kishirikina ndo zinawahangaisha
Hawa wanatambulika hadi caf kwa uloziSimba bila ushirikina haiwezekani. Na msimu huu watahama Sana na haitawasaidia.
Hutaki watu wapate taarifa? Nyie ndio mbumbumbu aliowasema ndugu rageYaani umekaa ukaanzisha uzi wa uwanja wa nyumbani wa Simba