kj75
JF-Expert Member
- Feb 17, 2019
- 539
- 637
Habar Wana jamvi,
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu watu Kama GENTAMYCINE mnaweza kuwa na majibu kwamba Simba inaenda kutumia uwanja wa KMC hadi siku ya daby imeona uwanja wa Kwa mkapa matokeo yanasaliti au Kwa Sasa hawataki Tena makoto
Nguvu wamewekeza kwenye matokeo ndani ya pitch?
Kuna member mmoja aliwahi kusema kuwa wakati wa marekebisho ya ule uwanja wa mkapa kuna jini Mama la simba limetolewa limebaki la Yanga, hivyo Simba kupata matokeo pale litakuwa kipengele hata mechi za kimataifa ila tulimpuuza ndo sasa yanaonekana?
Au Kuna sababu zingne mbali na hizo hapo tuambiane jamani
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu watu Kama GENTAMYCINE mnaweza kuwa na majibu kwamba Simba inaenda kutumia uwanja wa KMC hadi siku ya daby imeona uwanja wa Kwa mkapa matokeo yanasaliti au Kwa Sasa hawataki Tena makoto
Nguvu wamewekeza kwenye matokeo ndani ya pitch?
Kuna member mmoja aliwahi kusema kuwa wakati wa marekebisho ya ule uwanja wa mkapa kuna jini Mama la simba limetolewa limebaki la Yanga, hivyo Simba kupata matokeo pale litakuwa kipengele hata mechi za kimataifa ila tulimpuuza ndo sasa yanaonekana?
Au Kuna sababu zingne mbali na hizo hapo tuambiane jamani
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app