Simba kuvaa bips za umbro imekaaje?

Simba kuvaa bips za umbro imekaaje?

aka2030

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2013
Posts
2,657
Reaction score
3,679
Inamaana mkataba na VS umeisha mpaka wanavaa bips za mazoez zenye nembo ya umbro
 
Ndg yetu onyango ,haruki na kama wamegundua hiyo shida wamtoe haraka
 
Inamaana mkataba na VS umeisha mpaka wanavaa bips za mazoez zenye nembo ya umbro
Wewe bumla unakurupuka tu. Hata wydad wamevaa hizo hizo bips zenye nembo ya umbro kwani ni wadhamini wa CAF na kumbuka wydad haudhaminiwi na Umbro!
 
😂😂😂 ila wabongo.
Kwanini usitafiti kimya kimya?
Uelewe kwamba Umbro ni official sponsor wa CAF?
Team zote lazima zivae.
 
Back
Top Bottom