Simba kuweka Jiwe la Msingi Uwanja wa Bunju

Simba kuweka Jiwe la Msingi Uwanja wa Bunju

ZionGate

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
6,362
Reaction score
2,991
Uongozi wa klabu ya Simba umepanga siku ya Jumatatu, August 05 2019 utaweka jiwe la msingi kwenye ujenzi wa uwanja wake unaendelea Bunju, nje kidogo ya jiji la Dar es salaam

Akizungumza na waandishi wa habari leo, Mtendaji wa Simba Crescentius Magori Wanamsimbazi na wadau wote wa soka kuhudhuria tukio hilo

"Siku ya jumatatu tutakwenda kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa uwanja wetu unaoendelea kule Bunju wote mnakaribishwa hii ndio maana halisi ya Iga Ufe This is Next Level of Simba Week," amesema

Uongozi wa Simba umesema mpaka kufikia mwezi Oktoba uwanja huo utakuwa tayari kuanza kutumika
 
Yanga wenyewe badala ya kuchangia timu yao ianze kufanya mambo mazuri kama haya....wako busy kuunga mabando kufuatilia mzee kilomoni kasema nini [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahahah
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Makwasukwasu FC wanateseka sana.​
 
Imeshakuwa simba week siyo simba day tena? Kweli hii ni iga ufe
Mliochobadilisha Yanga ni kuita week ya mwananchi na kufanya maandamano ka mnadai haki.
Ila maudhui yote mmekopi .
 
Migongo wazi kwa maandamano. Ni jadi.
 
Mzee akilimali kila baada ya siku mbili au tatu namuona anakwenda hospital na mkewe kule kwake bagamoyo.
Fanyeni mpango mumnunulie hata bodaboda awe anaenda nayo.anapata tabu
Mzee kilomoni kàwazidi aķili mambumbumbu
 
Mliochobadilisha Yanga ni kuita week ya mwananchi na kufanya maandamano ka mnadai haki.
Ila maudhui yote mmekopi .
Membership card za bank Yanga walifanya na Benki ya Posta kitambo..iga ufe
 
Membership card za bank Yanga walifanya na Benki ya Posta kitambo..iga ufe
Weka iyo card hapa, mmengekuwa na iyo system ili bakuli la kiwango cha Matonya lisingekuwepo
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Weka iyo card hapa, mmengekuwa na iyo system ili bakuli la kiwango cha Matonya lisingekuwepo
Unabisha tu bila kujua kua kadi za yanga ndo kadi za ATM cad za TPB....sisi wenye kadi zetu za TPB ndo tunajua kua Yanga ilianza zamani uwekezaji.
 
Back
Top Bottom