Simba kwa Joshua Mtale tumepigwa.

Simba kwa Joshua Mtale tumepigwa.

ITR

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2022
Posts
6,096
Reaction score
16,390
Kiufupi hakuna neno lingine la kusema kwa Mutale zaidi ya simba tumepigwa hakuna mchezaji hapo.
Tumemuondoa Saido tumeleta Saido namba mbili ( Mutale) mbovu zaidi ya mara 10 ya Saido namba 1.
Bora Ntibazonkiza alikuwa ana faida kwenye mipira iliyo kufa lakini Joshua Mutale hana faida yeyote zaidi kukimbia kimbia hovyo na kuwa mzigo kwa wachezaji wenzake uwanjani.
 
Na nimeambiwa anamkataba wa miaka 6 , mutale munaye na mnatambanae
 
Kiufupi hakuna neno lingine la kusema kwa Mutale zaidi ya simba tumepigwa hakuna mchezaji hapo.
Tumemuondoa Saido tumeleta Saido namba mbili ( Mutale) mbovu zaidi ya mara 10 ya Saido namba 1.
Bora Ntibazonkiza alikuwa ana faida kwenye mipira iliyo kufa lakini Joshua Mutale hana faida yeyote zaidi kukimbia kimbia hovyo na kuwa mzigo kwa wachezaji wenzake uwanjani.
Ngoja basi hata mechi 10 zipitie mkuu ndio uhitimishe mmepigwa.
 
Ngoja basi hata mechi 10 zipitie mkuu ndio uhitimishe mmepigwa.
Hakuna mchezaji hapo aina ya uchezaji wake inamhukumu , yaani ana mambo mengi sana yasiyo kuwa na faida yeyote uwanjani.
 
Hakuna mchezaji hapo aina ya uchezaji wake inamhukumu , yaani ana mambo mengi sana yasiyo kuwa na faida yeyote uwanjani.
Usimkatie mtu tamaa mapema hivyo.
 
Back
Top Bottom