Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa tusubiriSimba leo ana sare na Kengold. Isipotokea hivyo mimi ni shoga
Wanapigwa kama ngoma.Nawapa za ndani na kichambuzi
Simba UWEZO wao ni mdogo sana
CHASAMBI hawezi kupata number ata team ya mtaani kwetu Kwa uchezaji wake
Ubaya ubwela😁Nawapa za ndani na kichambuzi
Simba UWEZO wao ni mdogo sana
CHASAMBI hawezi kupata number ata team ya mtaani kwetu Kwa uchezaji wake
Nilijua utakuja na uchambuzi wenye takwimu ya kila timu ikiwemo na vikosi vyaoNawapa za ndani na kichambuzi
Simba UWEZO wao ni mdogo sana
CHASAMBI hawezi kupata number ata team ya mtaani kwetu Kwa uchezaji wake
Alikuwa mwehu uyo mzeeMWAKA 1961 TANGANYIKA IKIPATA UHURU.
BABA WA TAIFA ALIWATAJA MAADUI WAKUU WA TATU WA TAIFA.
1. UMASIKINI.
2. UJINGA.
3. MARADHI.
AKAMALIZA KWA KUSEMA "MAADUI HAWA NI MAADUI KWELI KWELI NA SI MAADUI WA DHIHAKA"
JK NYERERE
Wewe ndo mwehu kabisa.Hivyo vyote vinaingia kwenye neno UJINGA. Wivu, chuki ,na nyege vyote ni ujinga.Alikuwa mwehu uyo mzee
Adui wakubwa ni
1.wivu 2.chuki 3.nyege
Simba anapigwa, Kengold wamejitafuta, na sasa wamejipata, Simba lazima ateguliwe kizazi leoNawapa za ndani na kichambuzi
Simba UWEZO wao ni mdogo sana
CHASAMBI hawezi kupata number ata team ya mtaani kwetu Kwa uchezaji wake
Hapa umetanguliza mbele hisia kuliko uhalisia.Nawapa za ndani na kichambuzi
Simba UWEZO wao ni mdogo sana
CHASAMBI hawezi kupata number ata team ya mtaani kwetu Kwa uchezaji wake
Au kwaya gani?Sare ya Shule gani?
Pole MwanamamaSimba anapigwa, Kengold wamejitafuta, na sasa wamejipata, Simba lazima ateguliwe kizazi leo