uungwana classic
JF-Expert Member
- Jun 9, 2014
- 2,324
- 2,085
Usikimbie mada yako baadae
Wanaishi kwa ramli hawataamini kitakachotokea leo[emoji23][emoji23]
Tatizo mnakimbiaga nyuzi zenu..
mikia msiende na matokeo uwanjani,mnapigwa leo
Muda wa mechi kusogezwa mbele,kumemchangya mno mganga wa kidimbwi😀
Una iman za KISHENZ. Aya sasa mda umebadilishwaNipo sana kama Mzee Mwinyi
Una iman za KISHENZ. Aya sasa mda umebadilishwa