kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,634
- 7,015
Ni mapumziko ila Simba inaonekana timu ya kawaida sanaWeka updates
I wish, I just wishSimba anaenda kuua mtu kipindi cha pili.
Subili
Cloutous chota chama 1I wish, I just wish
Kwa kweli inaelekea kuna tatizo kubwa na linapaswa lipatiwe ufumbuzi. Hii Simba hata ifanyiwe rotation kiasi gani, haipaswi kushinda kwa bao mbili tu, ni chache mno.Tumeona mwalimu amefanya rotation katika kikosi.
Hata hivyo inaelekea kikosi hiki kimeshindwa kufanya yanayotarajiwa.
Tatizo ni nini?
Kapige nyeto ulale naona dua lako limeishia mawinguni halijafika kwa sir God.Tafuteni sababu tena, si mlikuwa mnasema hamchezeshi Kagele leo kaanza, naombea mfungwe ama mtoe droo