Simba leo mmetia aibu kuomba viatu kwa wachezaji wa Sevilla

idawa

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2012
Posts
25,284
Reaction score
38,364
Baada ya mpira kuisha leo wachezaji wa Simba wameonekana wakiomba viatu kwa kubembeleza kwa wachezaji wa Sevilla.

Simba ni klabu inayojinasibu kama klabu tajiri Tanzania na imejitosheleza lakini ajabu wachezaji wao wamekuwa ombaomba wa viatu.

Sasa uwekezaji wa Mo uko wapi ikiwa Wachezaji wenu wanakuwa ombaomba tena hadharani kwenye vyombo vya habari vya kimataifa huku sehemu kubwa ya dunia ikishuhudia.


Simba ituombe radhi watanzania kwa aibu hii.......

 
Iwe iwavyo weye ndo mshamba. Wachezaji hupeana hadi Tshirts zao kama kumbukumbu kuwa amewahi cheza na timu kubwa sio kwamba ati hawana viatu. Fahamu hapo kuwa kila mchezaji aliingia na sm yake ili aweke kumbukumbu kuwa kacheza na team kubwa
 
ndicho Mlichobakiza hicho.
Si account za bank Wala za simu zote zinasoma 0 balance.
Viongozi wenu wameamua kuwaletea mchango "MKUBWA KULIKO"
Siku hyo mtakamuliwa hadi nauli.
By the way ALIYE NACHO UONGEZEWA.
yanga kaongezewa nini?
 
Ahaa! Yaani wamepewa boda boda na marupurupu kibao wakose hela ya viatu? huenda wanataka viatu kama kumbukumbu tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…