Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Kwa lipi? Mna nini zaidi ya makelele?Simba inakutesa sana mrembo,,,!
Kelele zisikusumbue Kama mabango.Mbona unaandika kinyonge?🤔Kwa lipi? Mna nini zaidi ya makelele?
Subirini kufukuza kocha.Kelele zisikusumbue Kama mabango.Mbona unaandika kinyonge?🤔
kwann wafungwe sasa wakati bila biliani limeshaanza kurudiiii...Hebu tuanze kubashiri kauli za Simba baada ya kupokea kichapo leo.
1. Kocha ana muda mfupi
2. Hata nyie Yanga mna point 2.
3 .Kipa ni tatizo.
Ongeza nyingine.
Aaah wapi?....huyu kocha bado yupo sanaaaaa tuSubirini kufukuza kocha.
Kila muda kocha mwenye akili huwa anatembea na nauli kabisa.Subirini kufukuza kocha.
ha ha ha ha nimecheka mpaka nimepaliwa.Mangungu atarudi Tena kwenye mijadala.
Wanasimba hawatakuwa na mashaka yeyoye juu ya matokeo ya leo,uzuri wake wana simba wana akili wanajua kwamba leo Wydad atakuwa mbogo uwanjani baada ya kukosa poit zaidi ya michezo miwili.Hebu tuanze kubashiri kauli za Simba baada ya kupokea kichapo leo.
1. Kocha ana muda mfupi
2. Hata nyie Yanga mna point 2.
3 .Kipa ni tatizo.
Ongeza nyingine.
Kwani nyie kwa nini jana mlidondosha point 2 muhimu kule Ghana?Hebu tuanze kubashiri kauli za Simba baada ya kupokea kichapo leo.
1. Kocha ana muda mfupi
2. Hata nyie Yanga mna point 2.
3 .Kipa ni tatizo.
Ongeza nyingine.
Na nyie kima mkifungwa mnataka sheria ya offside ifutwe,mna upuuzi mwingi sanaMashabiki wengi wa simba wana gubu sana. Wakifungwa utawasikia "hatumtaki Mangungu"