Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Ulitaka apewe timu gani ambyo ni kibonde?Ni kwamba hapa Simba mwendo wameumaliza.
Ni wazi CAF hawataki kuiona Simba mwaka huu kwenye makundi.[emoji1][emoji1][emoji12][emoji12][emoji125][emoji125]
View attachment 1987458
Kwa Simba hii mbovu hakuna namna ya kuvuka kigingi hiki.Ulitaka apewe timu gani ambyo ni kibonde?
Eti kigingi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].Kwa Simba hii mbovu hakuna namna ya kuvuka kigingi hiki.
Zambia wapo juu kimpira tofauti na Tanzania, tena Wazambia wangekuwa na matajiri kama Bongo kwenye mpira haya makombe ya CAF wangekuwa wanajibebea tu.
Red arrows atapigwa had achanganyikiweNi kwamba hapa Simba mwendo wameumaliza.
Ni wazi CAF hawataki kuiona Simba mwaka huu kwenye makundi.[emoji1][emoji1][emoji12][emoji12][emoji125][emoji125]
View attachment 1987458
Kati ya Zambia na Botswana ipi ni nchi ya mpira?Red arrows atapigwa had achanganyikiwe
Ww nae vp ww unaangalia nchi ipi yampir ndo ujue ubor wa timu fifa ranking huko anaongoz france lkn ukipelek timu tok lig ya ufrance pale laliga itapigwa kam timu ya watot wa mtaanKati ya Zambia na Botswana ipi ni nchi ya mpira?