Simba mechi 6 zote mnabebwa na Refa hamna kelele. Leo mbebwe na kupoteza kisha kelele?

Simba mechi 6 zote mnabebwa na Refa hamna kelele. Leo mbebwe na kupoteza kisha kelele?

Danielmwasi

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2021
Posts
2,134
Reaction score
3,834
I will be short

Simba since community shield Refa anawabeba tu . Magoli yote ya offside na penalty feki amna kelele.

Leo mechi na yanga mmebebwa sana. Mnapoteza Refa ndo tatizo.

Akili za makolo sijui zipo wapi? Football usipo kuwa fair . Uwezi jua quality yako.

Leo yanga Kanyimwa penalty, red card.

Simba penalty moja ya kibu denis.

In short Refa angekuwa fair mngekufa nyingi sana.

Simba acheni kuonga Marefa. Chezeni mpira.
 
Hawa makolo ni shida walimudhulumu azam hakuna kelele,Dodoma jiji wakapewa penati ya mchongo hakuna kelele,wao wanadhani yanga ni kama Dodoma jiji kwamba watabebwa kizembe.
Yani ushabiki shida sana . TFF is over working to keep Simba afloat . Atleast Ligi iwe nzuri sema Simba awaoni hicho
 
Back
Top Bottom