Danielmwasi
JF-Expert Member
- May 3, 2021
- 2,134
- 3,834
I will be short
Simba since community shield Refa anawabeba tu . Magoli yote ya offside na penalty feki amna kelele.
Leo mechi na yanga mmebebwa sana. Mnapoteza Refa ndo tatizo.
Akili za makolo sijui zipo wapi? Football usipo kuwa fair . Uwezi jua quality yako.
Leo yanga Kanyimwa penalty, red card.
Simba penalty moja ya kibu denis.
In short Refa angekuwa fair mngekufa nyingi sana.
Simba acheni kuonga Marefa. Chezeni mpira.
Simba since community shield Refa anawabeba tu . Magoli yote ya offside na penalty feki amna kelele.
Leo mechi na yanga mmebebwa sana. Mnapoteza Refa ndo tatizo.
Akili za makolo sijui zipo wapi? Football usipo kuwa fair . Uwezi jua quality yako.
Leo yanga Kanyimwa penalty, red card.
Simba penalty moja ya kibu denis.
In short Refa angekuwa fair mngekufa nyingi sana.
Simba acheni kuonga Marefa. Chezeni mpira.