Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Klabu ya Simba imeripotiwa kuwa kwenye mazungumzo na aliyewahi kuwa kocha wa Mamelodi Sundowns, Steve Komphela ambaye hivi sasa yupo jijini Dar Es Salaam
Simba Sc ambayo imekuwa chini ya Mtanzania Juma Mgunda kwa muda inatafuta kocha mpya kwa ajili ya kampeni za msimu ujao.
Aidha zipo ripoti kuwa Juma Mgunda ameruhusiwa kuondoka klabuni hapo kwa ajili ya kwenda kukinoa kikosi cha Coastal Union.
Simba Sc ambayo imekuwa chini ya Mtanzania Juma Mgunda kwa muda inatafuta kocha mpya kwa ajili ya kampeni za msimu ujao.
Aidha zipo ripoti kuwa Juma Mgunda ameruhusiwa kuondoka klabuni hapo kwa ajili ya kwenda kukinoa kikosi cha Coastal Union.