lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,571
- 35,475
Shauri yako wewe furahi kila unapofurahishwa,maisha yenyewe yako wapi?Ni kweli but mjue bado mko safarini
Hakuna kitu anateswa na wivu tu!! Eti siku hizi kspunguza ushabiki wa soka, sema utopolo hawakupi ubavu wa kusha imis soka!! Tunachozungumzia Ni kufika mbali kwenye mashindano!! Malengo ya mwaka huu Ni kufika nusu fainali!!Ushauri mzuri sana
Mkuu, endelea na siasa huku achana nako. Sio eneo lako.Japo Jukwaa hili huwa sitokei , mini ni mshabiki wa soka ingawa sio shabiki kama miaka ya nyuma(nimepunguza sana ushabiki).
Kabla sijaendelea, niwapongezi Simba kwa ushindi waliopata na hatua waliofikia, ila niwaonye wapunguze majigambo na kujimwambafai kama ilivyokuwa kwa Mzee Baba na wasaidizi wake ambao mpaka leo hawaamini Mzee Baba hatunae tena.
Mkiendelea kunyanyua mabega na kujiona mmefika, mna hatari ya kuangukia pua katika hatua zinazofuata kama ilivyotokea mwaka 1993 katika fainali za kombe la CAF ambapo hamkuamimi kilichotokea licha ya madai kuwa kuna wachezaji walihujumu ile mechi.
Nakumbuka hata miaka ile tambo zilikuwa ni kama hizi za leo(Simba Taifa kubwa, Yanga kimataifa hawawezi, n.k) ila mwisho wa siku kilichotokea Uwanja wa Taifa wote mnakijua.
Kumbukeni hata Mzee Baba alikuwa kama nyie ila leo yuko wapi? Overcofidence, majigambo ya kupitiliza, kudharau wengine na kujiona mmefika, viitawaponza. Muwe na kias,ila mkibeba kombe, ruksa lakini sio sasa.
Mna haki ya kujipongeza na kushangilia, but too much of everything is harmful
Utani wa jadi na vijembe katika soka ni jambo la kawaida duniani kote, ila wenzetu hapa Bongo mmevunja/ mmeweka rekodi mkiongozwa na Msemaji wenu, Bwana Haji Manara.
Msije kusema hatukuwaambia.
Hajijui ameathirika kisaikolojia aende kupata matibabuWw ukilala ukiamka unamuwaza Magu!!!?
keshaenda yule tafuta chimbo lingine la kutolea stress
Huyu mtoa mada 'siasa' zimeharibu uwezo wake wa kupambanua mambo.Kha!!wewe mbona mfano wako hauendani?
Basi tuleteeni Mamelody na Esperance Tunis tukate mzizi wa fitna.
Bingwa ni mmoja tu , sio simba pekee itaangukia pua ,ni simba na club nyingine 14 kati ya 16.. Hilo halituzuii sisi kufurahia , tulikua na melengo ya kufika robo tumefika , sasa tunaangalia tutapewa nani tulale nae mbele kwa mbele , tukutane nusu finalHuwa mnafungwa hivi hivi kwa kujiamini kwenu na kujikuza kupita kiasi.
Leo sijui unasemaje?Nikwambie tu na hata hapa Bongo watawakaba koo.Mkuu, endelea na siasa huku achana nako. Sio eneo lako.
ukiona mtu anadai kapunguza ushabiki ujue ni utopolo huyo.
Tuliwaambia hawakutaka kusikia.ahahaha.
tisha sana.
Haya sijui leo unasemaje!!Huu ushuzi, ukuponyoka tuu kwa bahati mbaya.
Endelea kumchukia mzee baba unenepe.
Mmefikishwa kilelenihuo mfano hauna link. Sports and entertainment ni mambo ya kujivunia na swags. Hizi ni starehe,ni sawa na kumwambia mtu afike tu kileleni lakini asikojoeeeeeeeeee
So barca kabsa??Kha!!wewe mbona mfano wako hauendani?
Basi tuleteeni Mamelody na Esperance Tunis tukate mzizi wa fitna.