Simba mjitahidi kumtafuta mbadala wa Shabalala na sio Gadiel Maiko

Simba mjitahidi kumtafuta mbadala wa Shabalala na sio Gadiel Maiko

Action and Reaction

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2021
Posts
1,438
Reaction score
1,496
Kwa kipindi kirefu nimemfwatilia Gadiel kwa kweli hatoshi kwenye namba ya Shabalala, ni vyema viongozi watafuta mchezaji mzuri wa timu za ndani anakayeweza kuitendea haki hiyo namba, mbona wapo huko nje ya Simba.

Na ikikosekana basi msajiri kutoka nje tu iliekeweke kwani Shabalala naye ni binadamu atachoka jamani! Kumuhifadhi Gadiel Maiko ni bomu!

Senkyu kwa kunisikiliza 🙏
 
Kwa kipindi kirefu nimemfwatilia Gadiel kwa kweli hatoshi kwenye nba ya Shambalala, nivyema viongozi watafuta mchezaji mzuri wa timu za ndani anakayeweza kuitendea haki hiyo namba, mbona wapo huko nje ya Simba. Na ikikosekana basi msajiri kutoka nje tyu iliekeweke..... kwani Shambalala nae ni binadamu atachoka jamani! Kumuhifadhi Gadiel Maicko ni bomu!
Senkyu kwa kunisikiliza 🙏
Uyo dogo nakumbuka aliondokaga yanga kwa nyodo akiwachomesha mahindi viongozi wa usajili zikiwa zimebaki siku 2 dirisha lifungwe la usajili akaenda kusaini Makolo ikabidi yanga iende kusajili beki wa haraka haraka ambae akuwa kwenye mipango kabisa.

Naona ile laana inaendelea kumtafuna kiwango chake tokea ahamie simba kimekuwa ni cha ovyo ovyo tu na simba wakimtema awezi kusajiliwa na timu za yanga wala Azam maana uko kote aliharibu labda akasajiliwe na timu za mikoani uko
 
Uyo dogo nakumbuka aliondokaga yanga kwa nyodo akiwachomesha mahindi viongozi wa usajili zikiwa zimebaki siku 2 dirisha lifungwe la usajili akaenda kusaini Makolo ikabidi yanga iende kusajili beki wa haraka haraka ambae akuwa kwenye mipango kabisa, Naona ile laana inaendelea kumtafuna kiwango chake tokea ahamie simba kimekuwa ni cha ovyo ovyo tu na simba wakimtema awezi kusajiliwa na timu za yanga wala Azam maana uko kote aliharibu labda akasajiliwe na timu za mikoani uko
Mpare huyo, anatafuta pesa sijui kama zimemtosha ama bado!
 
Simba haijawai kumiliki mchezaji anaeitwa Shambalala hilo jina labda lipo uko Ng'ombe fc
 
Uyo dogo nakumbuka aliondokaga yanga kwa nyodo akiwachomesha mahindi viongozi wa usajili zikiwa zimebaki siku 2 dirisha lifungwe la usajili akaenda kusaini Makolo ikabidi yanga iende kusajili beki wa haraka haraka ambae akuwa kwenye mipango kabisa, Naona ile laana inaendelea kumtafuna kiwango chake tokea ahamie simba kimekuwa ni cha ovyo ovyo tu na simba wakimtema awezi kusajiliwa na timu za yanga wala Azam maana uko kote aliharibu labda akasajiliwe na timu za mikoani uko
Simba walimsajili toka Azam uto kuweni na kumbukumbu

Sent from my Redmi 6 Pro using JamiiForums mobile app
 
Kwani Simba haijawahi kufungwa Shabalala akiwepo? Mtu hapangwi mechi kibao afu kila siku lawama kwake.Vaa uhusika wake uone kama ni rahisi
 
Kwa kipindi kirefu nimemfwatilia Gadiel kwa kweli hatoshi kwenye nba ya Shambalala, nivyema viongozi watafuta mchezaji mzuri wa timu za ndani anakayeweza kuitendea haki hiyo namba, mbona wapo huko nje ya Simba. Na ikikosekana basi msajiri kutoka nje tyu iliekeweke..... kwani Shambalala nae ni binadamu atachoka jamani! Kumuhifadhi Gadiel Maicko ni bomu!
Senkyu kwa kunisikiliza [emoji120]

Viongozi wenyewe hawa wa kumbakisha Onyango ndio unaowashairi wamwondoe Gadiel?
 
Back
Top Bottom