Simba mlichemsha

Mwana UoA

Member
Joined
Nov 8, 2011
Posts
47
Reaction score
6
chagueni rais mwingine kwanza jamaa ni haini aliua soka letu kipindi cha FAT
 
kuna signature moja hapa jf inasema "mitanzania ndivyo tulivyo"!
Fikiria huyu bwana kafungwa jera Ukonga na kila mtu kaona.
Mbali na masualu mengine, bado huyu jamaa kachaguliwa na Simba, kama hiyo haitoshi na Tabora wakampa ubunge!
...cha kukupa moyo hapa ni kuwa huyu jamaa anachaguliwa na wale 80% waliokataaga vyama mvingi kabla Mwalimu haja-intervine na kusema kuwa hawa 20% wanaotaka vyama vingi ndio wana akili!
chagueni rais mwingine kwanza jamaa ni haini aliua soka letu kipindi cha FAT
 
Kweli,chagua msanii akutawale kisanii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…