Simba mnajipiga risasi wenyewe na zitawaua wenyewe, huyo Lionel Atteba mnayetaka kumsajili rekodi zake hivi karibuni mmezifatilia?

Simba mnajipiga risasi wenyewe na zitawaua wenyewe, huyo Lionel Atteba mnayetaka kumsajili rekodi zake hivi karibuni mmezifatilia?

Majok majok

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2023
Posts
783
Reaction score
2,057
Sielewi Hawa viongozi wa Simba wanakuwa wanafikiria nini vichwani mwao lakini nahisi pale Simba bado Kuna viongozi wapigaji sana!

Uyu jamaa anayetaka kusajiliwa Kama mshambuliaji ni mzigo mwingine unaenda kuletwa pale, ukiona vilabu vya kaskazini vinamuachia mchezaji kirahisi rahisi tu ujue keshakuwa na shida mahala!

Jamaa alisajiliwa na usm Alger ya Algeria akiwa moto lakini alivyofika kule kiwango kikadrop akawa anawekwa benchi ata alipokuwa akipewa nafasi alikuwa mzito Ile mbaya, kacheza game 12 za ligi kafunga goli 1, kacheza kombe la shirikisho game 9 alitoka patupu ata assist tu ilimshinda!

Sasa uyo ndio anasajiliwa kwa dola laki 2🤣🤣

Elia mpanzu ambaye alikuwa moto na akiwa vizuri kwenye current performance yake kwa sasa walishindwa kumsajili lakini wameona wamfate uyo ambae amfikii Elia mpanzu ata robo ya ufanisi uwanjani kwa sasa!

Na anakuja kwenye mazingira mapya ukiweka na performance yake mbovu kitachofata ni thank you kwenye dirisha dogo wakati huo wajanja washapiga 10% zao mengine mtajua wenyewe!
 
Unajua Simba hua inachanganyikiwa sjui.
Umeona mpinzani ana vyuma harakaharaka hata hujafanya analysis unatafta striker ili mradi kutishia Nyau.

Skuiz wakubwa hawatishiwi nyao unasajili na bdo inagoma then inakula kwako.
 
Hilo si la kushangaa we hujawazowea UBWELA fc mipango yao ni usajili fukuza kisha usajili.
 
MUKWALA-
Ni striker mrefu kuliko goli na mzuri mno.
Wamvumilie tu atakuwa hatari
Hata Mayele alivokuja Yanga alisua sua sana ila alipewa muda tukamvulia alikuja kuwa bonge la mchezaji
 
Mukwala anaonekana ni mchezaji mzuri, simba inahitaji namba 10 fulanj hivi mwenye jicho la pasi, mwenye iq kubwa ya mpira, fundi mguuni, PLAYMAKER wa uhakika.

Nina mashaka na viongozi wa simba kwenye usajili, ule usajili waliotengeneza timu ya kutisha ni kama walibahatisha fulani hivi.... Kwa hizi papara zao wasitegemee kufanikiwa, timu ina wachezaji wapya 6 mpaka 8 wanaoanza kikosi cha kwanza unategemea nini..
 
Kwa kweli sijui ni kurogwa ama nini!
Viongozi wa simba wangepaswa kuwatumia wachezaji wa zamani wa ndani na nje kuwashauri kuliko kutumua mawakala feki wapigaji tu wanaowapa wachezaji average.

Amerika ya kusini kuna vipaji vingi sana lakini ile mizee pale haina fikra kabisa.
Mo naye tajiri ila si mjanja kabisa kwenye mambo ya soka.Huyu asingekuta mali za urithi,sijui hata angeweza kumiliki hata bodaboda!
 
Mnapenda kulalamika sana, usajili wakati mwingine ni kubahatisha, mchezaji anaweza kuwa mzuri alipotoka lakini akienda sehemu nyingine anaharibu.

Lazima pia mkubali wakati mwingine bei za wachezaji wazuri kuwatoa walipo ni kubwa, msijidanganye kumtaka kila mzuri mumuonae, wanaommiliki sio wajinga waachie kirahisi.

Muache huu utoto wenu wa kulia lia hovyo.
 
Simba inabid ujipe time mambo ya kutaka natokeo ya haraka haraka inapelekea kuanza kupanik hata liverpool ilisua sua sana tuwe wavumlivu tukishaanza kutaka kupanik nankutaka matokeo km ya utopowize haraka haraka ni ngumu
 
Sisi mashabiki wa simba hatuna nongwa. Hata tukiletewa Kingwendu kuja kuchezea timu yetu, tutampokea tu kwa mikono miwili.
🤣🤣🤣🤣🤣 Umeua Mzee baba,,kwamba ata kingwendu anaweza kupewa dimba la kati🤣🤣🤣
 
Sielewi Hawa viongozi wa Simba wanakuwa wanafikiria nini vichwani mwao lakini nahisi pale Simba bado Kuna viongozi wapigaji sana!

Uyu jamaa anayetaka kusajiliwa Kama mshambuliaji ni mzigo mwingine unaenda kuletwa pale, ukiona vilabu vya kaskazini vinamuachia mchezaji kirahisi rahisi tu ujue keshakuwa na shida mahala!

Jamaa alisajiliwa na usm Alger ya Algeria akiwa moto lakini alivyofika kule kiwango kikadrop akawa anawekwa benchi ata alipokuwa akipewa nafasi alikuwa mzito Ile mbaya, kacheza game 12 za ligi kafunga goli 1, kacheza kombe la shirikisho game 9 alitoka patupu ata assist tu ilimshinda!

Sasa uyo ndio anasajiliwa kwa dola laki 2🤣🤣

Elia mpanzu ambaye alikuwa moto na akiwa vizuri kwenye current performance yake kwa sasa walishindwa kumsajili lakini wameona wamfate uyo ambae amfikii Elia mpanzu ata robo ya ufanisi uwanjani kwa sasa!

Na anakuja kwenye mazingira mapya ukiweka na performance yake mbovu kitachofata ni thank you kwenye dirisha dogo wakati huo wajanja washapiga 10% zao mengine mtajua wenyewe!
Unataka tumsajili nani kwa huu muda uliobaki?

Pesa sio zako unatupigia kelele tu.
 
Unataka tumsajili nani kwa huu muda uliobaki?

Pesa sio zako unatupigia kelele tu.
Kwaiyo Kama sio zangu kadi za uanachama tunazolipia ni za mhindi wa Bombay? Kwanini zisituume? Kwanini zipigwe na wapuuzi wachache kwenda kutuletea kina Yikpe au molinga wapya ndani ya timu? Mashabiki oya oya Kama nyie ndio mnafanya Simba iendelee kuwa mdebwedo mpaka Sasa maana akili zenu ni za kushikiwa tu bendera fuata upepo!
 
MUKWALA-
Ni striker mrefu kuliko goli na mzuri mno.
Wamvumilie tu atakuwa hatari
Hata Mayele alivokuja Yanga alisua sua sana ila alipewa muda tukamvulia alikuja kuwa bonge la mchezaji
Weee acha uongo mayele game ya kwnza kabisa akiwa na yanga tena vs simba ngao ya jamii anaweka goli kwa assist ya Farid mussa!! Siku ya kwnza anavaa jezi tulitetema taifa the rest is history!!
 
Weee acha uongo mayele game ya kwnza kabisa akiwa na yanga tena vs simba ngao ya jamii anaweka goli kwa assist ya Farid mussa!! Siku ya kwnza anavaa jezi tulitetema taifa the rest is history!!
Sawa kwenye ligi alicheza mechi 6 bila bao akaja kufunga mechi ya 7
 
Uliza Sasa mtoa mada amechangia sh ngapi kununua huyo mcheza jibu atakwambia mimi ni fun base ya simba
 
Ambaye anaona Simba ishamchosha ni muda sahihi wa kuvaa batiki.
 
Mbona Fredy Michael alikua mfungaji bora na amekuja akachemka?

Wabongo wajuaji sana.
 
Back
Top Bottom