Simba mnapata wapi nguvu ya kushangilia wakati hamna matumaini ya kupata kombe lolote, iwe la kimataifa au ndani ya ligi?

Simba mnapata wapi nguvu ya kushangilia wakati hamna matumaini ya kupata kombe lolote, iwe la kimataifa au ndani ya ligi?

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2016
Posts
10,587
Reaction score
13,425
Kimataifa inafahamika kuwa Robo ndiyo mwisho wa Mo Dewji FC, hii haina tofauti na mtoto kushangilia na kufanya sherehe kwa kuwa ameshika nafasi ya nne darasani miaka nne mfululuzo mtoto afanye sherehe kushangilia kushika nafasi ya nne huo ni upuuzi (ujuha). Mo Dewji FC wanapaswa kushangilia nusu, Fainali nk, lakini siyo kuingia robo.

Ligi ya ndani Nbcpl Mo Dewji FC wana hali mbaya sana NALIA NGWENA sikumbuki Mo Dewji FC walichukua kombe lini hii mbaya sana kwa timu kubwa Kama wao kukosa na kutopata hata kombe ili mashabiki wawe na furaha maana furaha ya mashabiki ni kombe.

Ukiondoa Ngao ya Jamii mashabiki wa Mo Dewji FC hawana cha kulingishia/kufurahia ndani ya kabati lao.
 
Sasa unadhani Jobe Fc wanafurahia Nini.
Wanafurahia NALIA NGWENA fc kupigwa hela na Jwaneng.

Mmewapa kila kitu ili washinde halafu wameshindwa kushinda kwa maana ya kwamba wanekula hela yenu bure bin bileshi.

Kibabu NALIA NGWENA hII ndio sababu ya furaha ya Jobe,
 
Wanafurahia NALIA NGWENA fc kupigwa hela na Jwaneng.

Mmewapa kila kitu ili washinde halafu wameshindwa kushinda kwa maana ya kwamba wanekula hela yenu bure bin bileshi.

Kibabu NALIA NGWENA hII ndio sababu ya furaha ya Jobe,
HUNA AKILI JIKITE KWENYE HOJA
 
TUMA SALAMU KWA WATU WATATU.
Kwanza natuma salamu kwa NALIA NGWENA mzee wa kupoteza data nikimtaka atulie kama ananyolewa kwa wembe na ajikite katika kutafuta hela ili aimarishe timu yake

Pili natuma salamu kwa Laban og mzee wa kula kunywa kwa shemejie nikimtaka aende Avic town akabebe mabegi ya Jwaneng kwenda airport kuwasindikiza mabest waliopigwa 6 mtungi

Tatu natuma salamu kwa vyura wote nikiwataka waache kelele huku CAFCL na badala yake wajikite kushadadia ubingwa usiolipa wa NBCPL.
 
Kwanza natuma salamu kwa NALIA NGWENA mzee wa kupoteza data nikimtaka atulie kama ananyolewa kwa wembe na ajikite katika kutafuta hela ili aimarishe timu yake

Pili natuma salamu kwa Laban og mzee wa kula kunywa kwa shemejie nikimtaka aende Avic town akabebe mabegi ya Jwaneng kwenda airport kuwasindikiza mabest waliopigwa 6 mtungi

Tatu natuma salamu kwa vyura wote nikiwataka waache kelele huku CAFCL na badala yake wajikite kushadadia ubingwa usiolipa wa NBCPL.
HONGERA SANA
 
Kimataifa inafahamika kuwa Robo ndiyo mwisho wa Mo Dewji FC, hii haina tofauti na mtoto kushangilia na kufanya sherehe kwa kuwa ameshika nafasi ya nne darasani miaka nne mfululuzo mtoto afanye sherehe kushangilia kushika nafasi ya nne huo ni upuuzi (ujuha). Mo Dewji FC wanapaswa kushangilia nusu, Fainali nk, lakini siyo kuingia robo.

Ligi ya ndani Nbcpl Mo Dewji FC wana hali mbaya sana NALIA NGWENA sikumbuki Mo Dewji FC walichukua kombe lini hii mbaya sana kwa timu kubwa Kama wao kukosa na kutopata hata kombe ili mashabiki wawe na furaha maana furaha ya mashabiki ni kombe.

Ukiondoa Ngao ya Jamii mashabiki wa Mo Dewji FC hawana cha kulingishia/kufurahia ndani ya kabati lao.
Tunashangilia ushindi
 
Michezo ni furaha, huna haja ya kuumia moyo, kukosa raha kisa mpira. Jiulize hiyo Simba au Yanga akishinda wewe mfukoni unaingiza nini.
WanaSimba kazeni hapo hapo, angalia gemu timu imeshinda poa imefungwa poa. Huo ndio ukubwa, Ngao ya Hisani Simba mmechukua inatosha, na hivyo vingine waachieni wenzenu nao wapate maisha yasonge mbele.
 
Back
Top Bottom