Si kuna yule injinia mwingine ingawa sijui kama alishawahi kujenga hata banda la kukuBora wangenipa mimi so sad sijasomea mambo ya utawala nimesoma mavitu magumu ma engineering ni mwendo wa ku resolve tu force na ku intergrate na ku defferentiate.
Mukimuondoa huyo, malizieni Ahmed Ally, maana nae ni Yanga pia.Simba ijitathmini tena kuhusu huyu CEO mpya,haiwezekani shabiki wa Yanga aje kuwa CEO wa Simba,hatutaki mamluki kama alivyokuwa Manara,mbinu za kivita zinazojadiliwa Simba yeye anapeleka upande wa pili.
Huyu CEO aondolewe mapema kwa maslahi mapana ya timu.
Soma Pia: Simba yamtangaza Zubeda Sakuru kuwa Kaimu Mtendaji Mkuu (CEO) mpya wa klabu
Unajua maana ya kukaimu ofisi na majukumu?Simba ijitathmini tena kuhusu huyu CEO mpya,haiwezekani shabiki wa Yanga aje kuwa CEO wa Simba,hatutaki mamluki kama alivyokuwa Manara,mbinu za kivita zinazojadiliwa Simba yeye anapeleka upande wa pili.
Huyu CEO aondolewe mapema kwa maslahi mapana ya timu.
Soma Pia: Simba yamtangaza Zubeda Sakuru kuwa Kaimu Mtendaji Mkuu (CEO) mpya wa klabu
Lakini vipi uongozi wake?Si kuna yule injinia mwingine ingawa sijui kama alishawahi kujenga hata banda la kuku
CEO ni Cheo ingekuwa ni nafasi ya Mwenyekiti hapo sawa. Mwacheni bint apige kazi, mbona Ahmed Ali anafanya kazi yake vizuri tuSimba ijitathmini tena kuhusu huyu CEO mpya,haiwezekani shabiki wa Yanga aje kuwa CEO wa Simba,hatutaki mamluki kama alivyokuwa Manara,mbinu za kivita zinazojadiliwa Simba yeye anapeleka upande wa pili.
Huyu CEO aondolewe mapema kwa maslahi mapana ya timu.
Soma Pia: Simba yamtangaza Zubeda Sakuru kuwa Kaimu Mtendaji Mkuu (CEO) mpya wa klabu
Na inasikitisha sana mwenye majungu hayo akawa mwanaume. Angalau majungu kwa mwanamke ni sunna. Lakini mwanaume?Majungu ndio kipaji pekee cha uhakika alichonacho mtanzania