Simba mnatutesa ila jipu la kuonekana haraka ni Benchika

Simba mnatutesa ila jipu la kuonekana haraka ni Benchika

mugah di matheo

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2018
Posts
6,307
Reaction score
12,410
Huyu jamaa anadharau na kiburi bila sababu halafu hayuko flexible.

Mfano mechi ya marudiano na Al Ahly ilikuwa na haja gani kuanza na false namba 9? Mechi za ndani ugenini Kama ya Ihefu na mashujaa hakujua plan ilitakiwaje? Anarudi na plani zake zilizofeli kwenye mechi iliopita?

Sub zake ni za kukariri pili ni za hovyo, atamtoa chama na Fred ataingia onana na jobe. Atamtoa kapombe anaingia Mwenda atatoka kanute anaingia Onana.

Ili kujenga Simba mpya toa Benchika. Toa onana, Inonga, Fredy, Jobe, Babacar na Saidoo. Pia Karabaka, Feruz, Balua, Hamis Abdala na Duchu.

Usajili wa ndani tusajili hawa Kibabage, Mwamnyeto, Pascal msindo, Sopu na Sospeter Bajana.
 
Huyu jamaa anadharau na kiburi bila sababu halafu hayuko flexible.

Mfano mechi ya marudiano na Al ahly ilikuwa na haja gani kuanza na false namba 9??..
Mechi za ndani ugenini Kama ya ihefu na mashujaa hakujua plan ilitakiwaje? Anarudi na plani zake zilizofeli kwenye mechi iliopita??

Sub zake ni za kukariri pili ni za hovyo ,,atamtoa chama na Fred ataingia onana na jobe..
Atamtoa kapombe anaingia Mwenda atatoka kanute anaingia Onana..



Ili kujenga Simba mpya toa Benchika..
Toa onana,Inonga,Fredy ,Jobe,Babacar na Saidoo
Pia Karabaka,Feruz,Balua,Hamis Abdala na Duchu..

Usajili wa ndani tusajili hawa..Kibabage,mwamnyeto,Pascal msindo,,Sopu na Sospeter Bajana
Utamlaumu bure ndio wachezaji tulio nao. Yaani ndani matatizo na nje huoni wa kubadili match.
 
Huyu jamaa anadharau na kiburi bila sababu halafu hayuko flexible.

Mfano mechi ya marudiano na Al ahly ilikuwa na haja gani kuanza na false namba 9??..
Mechi za ndani ugenini Kama ya ihefu na mashujaa hakujua plan ilitakiwaje? Anarudi na plani zake zilizofeli kwenye mechi iliopita??

Sub zake ni za kukariri pili ni za hovyo ,,atamtoa chama na Fred ataingia onana na jobe..
Atamtoa kapombe anaingia Mwenda atatoka kanute anaingia Onana..



Ili kujenga Simba mpya toa Benchika..
Toa onana,Inonga,Fredy ,Jobe,Babacar na Saidoo
Pia Karabaka,Feruz,Balua,Hamis Abdala na Duchu..

Usajili wa ndani tusajili hawa..Kibabage,mwamnyeto,Pascal msindo,,Sopu na Sospeter Bajana
Huna akili. Jipu ni Mohammed Dewji. Fala wewe usie na akili.
 
Huyu jamaa anadharau na kiburi bila sababu halafu hayuko flexible.

Mfano mechi ya marudiano na Al ahly ilikuwa na haja gani kuanza na false namba 9??..
Mechi za ndani ugenini Kama ya ihefu na mashujaa hakujua plan ilitakiwaje? Anarudi na plani zake zilizofeli kwenye mechi iliopita??

Sub zake ni za kukariri pili ni za hovyo ,,atamtoa chama na Fred ataingia onana na jobe..
Atamtoa kapombe anaingia Mwenda atatoka kanute anaingia Onana..



Ili kujenga Simba mpya toa Benchika..
Toa onana,Inonga,Fredy ,Jobe,Babacar na Saidoo
Pia Karabaka,Feruz,Balua,Hamis Abdala na Duchu..

Usajili wa ndani tusajili hawa..Kibabage,mwamnyeto,Pascal msindo,,Sopu na Sospeter Bajana
Ndugu tangu saa tisa usiku usingizi umekata!!
Hii Simba inatutesa sana!!
 
Huyu jamaa anadharau na kiburi bila sababu halafu hayuko flexible.

Mfano mechi ya marudiano na Al ahly ilikuwa na haja gani kuanza na false namba 9??..
Mechi za ndani ugenini Kama ya ihefu na mashujaa hakujua plan ilitakiwaje? Anarudi na plani zake zilizofeli kwenye mechi iliopita??

Sub zake ni za kukariri pili ni za hovyo ,,atamtoa chama na Fred ataingia onana na jobe..
Atamtoa kapombe anaingia Mwenda atatoka kanute anaingia Onana..



Ili kujenga Simba mpya toa Benchika..
Toa onana,Inonga,Fredy ,Jobe,Babacar na Saidoo
Pia Karabaka,Feruz,Balua,Hamis Abdala na Duchu..

Usajili wa ndani tusajili hawa..Kibabage,mwamnyeto,Pascal msindo,,Sopu na Sospeter Bajana
Mtafukuza makocha kila siku je wachezaji wenu boli linatembea?
 
Huyu jamaa anadharau na kiburi bila sababu halafu hayuko flexible.

Mfano mechi ya marudiano na Al ahly ilikuwa na haja gani kuanza na false namba 9??..
Mechi za ndani ugenini Kama ya ihefu na mashujaa hakujua plan ilitakiwaje? Anarudi na plani zake zilizofeli kwenye mechi iliopita??

Sub zake ni za kukariri pili ni za hovyo ,,atamtoa chama na Fred ataingia onana na jobe..
Atamtoa kapombe anaingia Mwenda atatoka kanute anaingia Onana..



Ili kujenga Simba mpya toa Benchika..
Toa onana,Inonga,Fredy ,Jobe,Babacar na Saidoo
Pia Karabaka,Feruz,Balua,Hamis Abdala na Duchu..

Usajili wa ndani tusajili hawa..Kibabage,mwamnyeto,Pascal msindo,,Sopu na Sospeter Bajana
Huyo Benchika ana kosa gani hapo maana usajili mwingi kaukuta na sub anazofanya unazodai za kukariri ni za wachezaji wa Simba hao hao wanaostahili kukaa kwenye benchi unataka wengine awatoe wapi?
 
Kweli simba inatutesa sana. Kama vipo tumrudishe Mgunda kabla ya derby ya tarehe 20 ya mwezi huu. Tusipofanya hivyo, mashabikibwa simba tutateseka kweli kweli.
 
Back
Top Bottom